ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,652
Kuna jamaa yangu alifanya usaili, sasa jana
kaambiwa na mtu anayedai anafanya kazi kwa hiyo
ofisi kwamba inabidi atoe hela kwanza ili aweze
kupewa hiyo ajira. Huyo mtu inaonekana amepata details
za kwenye CV ya mhusika kwani alikuwa anajaribu
kusoma maelezo binafsi ya mwajiriwa mtarajiwa.
Jamaa bado hajaamua kama atoe au laaa, maana
kazi anaipenda lakini hana uhakika kama akitoa hiyo
hela kweli ataipata hiyo kazi au ndo itakuwa imekula kwake.
Mshaurini huyu ndugu please!
kaambiwa na mtu anayedai anafanya kazi kwa hiyo
ofisi kwamba inabidi atoe hela kwanza ili aweze
kupewa hiyo ajira. Huyo mtu inaonekana amepata details
za kwenye CV ya mhusika kwani alikuwa anajaribu
kusoma maelezo binafsi ya mwajiriwa mtarajiwa.
Jamaa bado hajaamua kama atoe au laaa, maana
kazi anaipenda lakini hana uhakika kama akitoa hiyo
hela kweli ataipata hiyo kazi au ndo itakuwa imekula kwake.
Mshaurini huyu ndugu please!