ushauri plzzz!!

Mi nadhani waalimu na ustawi wa jamii wanawezakusaidia zaidi! Demu kanogewa na kibolibo cha mwenzie!
 
mmmmh yani Lady N kwa hali hii hawa watoto watawatoa wazazi wao roho kwa pressure heb imagine its only few dayz zimebaki kumaliza shule!so sad
wewe acha tu mate! nikiisoma hii pots na nina mdogo wa kike naye anategemea kufanya mtihani oct, damu inanicheza!
 

FD una watoto?? Adhabu nyingine ni kubwa sana mkuu... Hazichukuliki.... Maji yakimwagika hayazoleki...

BTW... swali la kizushi.... Funza Dume yukoje?:confused2:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…