USHAURI: Postgraduate Diploma in Law, Mediation and Arbitration

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,721
Wakuu naomba maoni na ushauri wenu kuhusu uzuri au ubaya (Manufaa) wa kusoma kozi hiyo
 
Wakuu naomba maoni na ushauri wenu kuhusu uzuri au ubaya (Manufaa) wa kusoma kozi hiyo
Labda tuanze na wewe ulikua na lengo gani hasa mpaka ulipoanza kufikiria kisoma hiyo kozi. Hyo tisa, kumi wew undergraduate umesoma kozi gani
 
Nenda kasome post graduate diploma in legal practice
 
Wakuu kusoma law school moja kwa moja ukitokea chuo na ukifanya Kazi kwanza kwa miaka kadhaa kipi bora?
 
Wakuu kusoma law school moja kwa moja ukitokea chuo na ukifanya Kazi kwanza kwa miaka kadhaa kipi bora?
Maliza chuo nenda law school, usipoteze muda, uenda uko mbeleni mambo ya kawa magumu zaidi na law school pakawa hapaingiliki tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…