Ushauri: Rais Samia akae na Jenerali Mabeyo wanywe chai na kupiga picha

Ushauri: Rais Samia akae na Jenerali Mabeyo wanywe chai na kupiga picha

Fatma-Zehra

Senior Member
Joined
Oct 18, 2020
Posts
192
Reaction score
1,063
Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.

Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.

Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
 
Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha. Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi. Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Leo atatoa.....press mtamuona
 
Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha. Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi. Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Huyo mzee hapendi siasa ni mwanajeshi wa kweli
 
CDF Mabeyo kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama Kila siku analipoti kwa Rais pia yupo kwenye kamati ya Baraza la Usalama la Taifa hivo basi Kila siku lazima aongee na Rais kumpa briefing za nchi kiulinzi na kiusalama.
 
Jaribu kufikiri tena ulichoandika na hao uliowataja na vyeo vyao....
 
Basi aweke kwenye autopilot mode tujue rubani haendeshi ndege bali ndege inajiendesha yenyewe......
 
Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.

Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha. Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi. Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Wengi watapuuza ushauri huu ila yajayo…,
 
kuna vitu vinachekesha sana aisee.... ndio maana huwa tunasema demokrasia sio rafiki kwa mpumbavu...
kuna vitu vinachekesha sana aisee.... ndio maana huwa tunasema demokrasia sio rafiki kwa mpumbavu...
Huenda mwandishi ana tip fulani ambayo hatuijui anaamua kutumia fasihi kufikisha ujumbe,asipuuzwe
 
CDF Mabeyo kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama Kila siku analipoti kwa Rais pia yupo kwenye kamati ya Baraza la Usalama la Taifa hivo basi Kila siku lazima aongee na Rais kumpa briefing za nchi kiulinzi na kiusalama.
Usidanganye watu. Yule ni kiongozi wa ulinzi tu. Kiongozi wa usalama nk IGP siro
 
Back
Top Bottom