Habari zako Fatma sio za kupuuzwa. AsanteKwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha. Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi. Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Siku hizi umekuwa na akili kama za dada zako Kule Magugu,Endasaki,Kateshi..n.k hawana funguo za makomeo basi wanagawa tu.
Mabeyo Kaanza lini kutokupenda kelele na uanasiasa kaacha lini tena?Mabeyo yupo, juzi kati alikuwepo sehemu kama mgeni rasmi na akatoa hotuba fupi. Mabeyo hapendi kelele sio politician.
Mmh! Roho mbaya itakuua. Hampendi kuambiwa ukweli na demokrasia ndio kazi yake.kuna vitu vinachekesha sana aisee.... ndio maana huwa tunasema demokrasia sio rafiki kwa mpumbavu...
ITIFAKI IZINGATIWE: CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi tu. Vyombo vya usalama vina wakuu wao ambao huwajibika kwa C IN C.CDF Mabeyo kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama Kila siku analipoti kwa Rais pia yupo kwenye kamati ya Baraza la Usalama la Taifa hivo basi Kila siku lazima aongee na Rais kumpa briefing za nchi kiulinzi na kiusalama.
Jamaa alikuwa anapotezwa nyota yake na jiwe tu lkn yupo vizuri sanaMabeyo yupo, juzi kati alikuwepo sehemu kama mgeni rasmi na akatoa hotuba fupi. Mabeyo hapendi kelele sio politician.
Alipokuwa anapiga Jpm na wakuuu wote wa vyombo haikua Mshangao lakini akipiga na Samia mnaona nongwa??Mkuu wa majeshi apige picha akinywa chai na amiri jeshi mkuu ili mwanajamii forum afurahi😀 Tanzania.......
Mabeyo atakuwepo tu mkuu kuwa na amani maana nafasi zingine siyo za kufanyia majaribioKwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha. Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi. Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
NashangaaMabeyo Kaanza lini kutokupenda kelele na uanasiasa kaacha lini tena?
Mama alianza na kule juu hawezi kushindwa hapa ktktMabeyo atakuwepo tu mkuu kuwa na amani maana nafasi zingine siyo za kufanyia majaribio
Mleta mada kakwambia yeye ni siku nyingi hajamuonaCDF Mabeyo kama mkuu wa majeshi ya ulinzi na Usalama Kila siku analipoti kwa Rais pia yupo kwenye kamati ya Baraza la Usalama la Taifa hivo basi Kila siku lazima aongee na Rais kumpa briefing za nchi kiulinzi na kiusalama.
Hana nafasi ya kuchomoka kwenye hiyo lawamaNdio wanamdrive mama.Ishu ya Mbowe mama kaipokea kishingo upande sio yeye
Hili ni jukwaa huru mzeeMkuu wa majeshi apige picha akinywa chai na amiri jeshi mkuu ili mwanajamii forum afurahi[emoji3] Tanzania.......
Basi atukumbuke na sie huku mkojaniMama alianza na kule juu hawezi kushindwa hapa ktkt
Akumbuke mambo ya ulinzi na Usalama hayaihitaji mbwembwe.Mleta mada kakwambia yeye ni siku nyingi hajamuona
Umesomeka babuAkumbuke mambo ya ulinzi na Usalama hayaihitaji mbwembwe.
Last sentence in your first paragraphy say it all! You are supporting her leadership blindly! Sorry to say that! I understand your wings especially when someone from your side is in power! You dont care what she or he is doing but just because he or she belongs to your side!! Expect to see much from this swahili's regime! Extrimism fragments the country!Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha. Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi. Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Wapolisi wameshika Grip. Wanabinya hasaKESI YA MBOWE WAJESHI VS MAPOLISI