Let the dead bury the dead.Last sentence in your first paragraphy say it all! You are supporting her leadership blindly! Sorry to say that! I understand your wings especially when someone from your side is in power! You dont care what she or he is doing but just because he or she belongs to your side!! Expect to see much from this swahili's regime! Extrimism fragments the country!
Kama tulimsifia mama kuwaachia masheikh wa uamsho kwa nini tusimlaumu kumfunga mbowe? Kama kashauriwa vibaya kuhusu mbowe basi tukubali pia hata kuwaachia masheikh wa uamsho sio yeye amehusikaNdio wanamdrive mama.Ishu ya Mbowe mama kaipokea kishingo upande sio yeye
Maguful alitaka kumuharibu maana enz za mwendazake mabeyo alikua kwenye media daily mpaka tukawa tunapata hofu.Mabeyo yupo, juzi kati alikuwepo sehemu kama mgeni rasmi na akatoa hotuba fupi. Mabeyo hapendi kelele sio politician.
🤣🤣🤣🤣Mkuu wa majeshi apige picha akinywa chai na amiri jeshi mkuu ili mwanajamii forum afurahi😀 Tanzania.......
Yajayo kitu gani ?!!Wengi watapuuza ushauri huu ila yajayo…,
Jumamosi ya Oktoba 30, mwaka huu, alikuwa Dodoma, akizindua miradi ya uzalishaji ya JKT. Halafu unahamu umuone ktk picha na Rais? Ili iweje sasa?Kwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.
Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.
Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
NDIO. Kumbuka wanaishi kwa kodi zetu.Mkuu wa majeshi apige picha akinywa chai na amiri jeshi mkuu ili mwanajamii forum afurahi😀 Tanzania.......
Our founding fathers did not project a nation which would bring back the blairs through back doors.Lililosimikwa vyema na MWANABORA KABISA WA AFRIKA KUSHINDA SISI SOTE hayati baba wa taifa JKN💪
Siempre JMT
Ulinzi gani? Hii nchi ni Mungu tu ndie mlinzi wa kipekee. Ajitokeze bwana wapige picha na amri jeshi wake mkuu. Sisi walipa kodi tuna haki ya kuhoji.Akumbuke mambo ya ulinzi na Usalama hayaihitaji mbwembwe.
Yes of course I concur with you.Our founding fathers did not project a nation which would bring back the blairs through back doors.
Dada fatma wanye chai na nin!? Kwani kuna kiporo gan? Au wakachukue vitumbua hapo kwa mama chikuKwanza nianze kwa kumpa mama pole ya uchovu wa safari. Ninamwomba apigane na upandaji wa gharama za maisha hasa bei za vitu mbalimbali. Unfortunately, this's placing a notable stain on her beautiful leadership gown.
Hata hivyo, namshauri mama ampigie simu Venance wanywe nae chai halafu wapige picha.
Personally nitafurahi maana sijamwona Mabeyo siku nyingi.
Ukimya wake unanistua!. Siku njema.
Aaaamin aaaaamin aaaaamin eee Mwenyezi Mungu wetu aaaamin aaaamin 🙏Jumamosi ya Oktoba 30, mwaka huu, alikuwa Dodoma, akizindua miradi ya uzalishaji ya JKT. Halafu unahamu umuone ktk picha na Rais? Ili iweje sasa?
Mungu endelea kumbariki CDF wetu atakayesomwa na vizazi na vizazi, yeye na wakuu wengine wa vyombo vya usalama kwa kuivusha nchi yetu salama, baada ya kumpoteza mpendwa Rais wetu, Dk. Magufuli.
Hajapuuzwa. Ukishakuwa na fake Id hata kama ww ndo beyo mwenyewe na unataka picha ya chai kwa maslahi mapana ya nchi watu humu watakuchangamsha tu.Huenda mwandishi ana tip fulani ambayo hatuijui anaamua kutumia fasihi kufikisha ujumbe,asipuuzwe
Mbowe ushahidi wa kuokoteza bashite uhitaji torchKama tulimsifia mama kuwaachia masheikh wa uamsho kwa nini tusimlaumu kumfunga mbowe? Kama kashauriwa vibaya kuhusu mbowe basi tukubali pia hata kuwaachia masheikh wa uamsho sio yeye amehusika