Bw.Daffa
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 420
- 116
WanaJf.
Swala la ajira limekua ni changamoto kubwa sana.Na mbaya zaidi ni kwamba hata vijana wakiamua kujiajiri bado wanakumbana na changamoto mbalimbali ambazo kwa namna moja au nyingine zinatokana na kukosa Elimu ya Kuendesha Biashara.Ripoti Iliyotolewa na World Bank Group Tanzania inataja waziwazi kwamba Wafanyabiashara Wadogo Wadogo Wengi Tanzanaia Wanafocus Kwenye Kuhakikisha Kwamba Bisiness startups Zao Zinasurvive na Wala Sio Kukua.Na Nyingi Huishia Kufa Ndani ya Miaka Mitano..
Wakuu Mtakubaliana na Mimi Kwamba Ili Kuendesha Biashara Flani Kwa Mafanikio Itabidi Mhusika Awe na Atleast ABCs za Biashara.Na Ndo Mana Leo Hii Kuna Utitiri wa Business Consultant Firms.
Ila Mimi Niliwaza Kwa Upande Wa Serikali.Kwamba Serikali Ianzishe Ofisi Kila Wilaya za Kutoa Elimu ya Biashara na Kuhamasisha Ujasiriamali.. Vitu Vidogo Vidogo Kama Namna ya Kuandika Business Plans,Tax Management,Business Leadership n.k Ambavyo Vitainua Biashara Nyingi Ndogo Ndogo na Hivyo Kuongeza Nafasi za Ajira.
Kwa Serikali ya Marekani Wanafanya Hii Kitu Kupitia Us Small Business Administration.Na Ipo Pia Tovuti Ambapo Kuna Tutorials na Artocles Nyingi Zinazotoa Elimu ya Biashara.
Tembelea Us Small Business Administration Utajionea.
Kwa Hiyo Hata Kwa Serikali Yetu Pia Ikiwa na Website Maalum Kama Hiyo Itakua ni Nzuri.
Kuna Haja Kubwa Kwa Serikali Yetu Kuchukua Hatua Zinagusa Moja Kwa Moja Vijana Wakitanzania Mbali na Kuvutia Wawekezaji tu Ambao Mda Mwingine Huja na Wataalam Wao.
Mnainaje Huu Ushauri Wakuu..!Kuna Ugumu wa Kufanya Kitu Kama Hiki.
Swala la ajira limekua ni changamoto kubwa sana.Na mbaya zaidi ni kwamba hata vijana wakiamua kujiajiri bado wanakumbana na changamoto mbalimbali ambazo kwa namna moja au nyingine zinatokana na kukosa Elimu ya Kuendesha Biashara.Ripoti Iliyotolewa na World Bank Group Tanzania inataja waziwazi kwamba Wafanyabiashara Wadogo Wadogo Wengi Tanzanaia Wanafocus Kwenye Kuhakikisha Kwamba Bisiness startups Zao Zinasurvive na Wala Sio Kukua.Na Nyingi Huishia Kufa Ndani ya Miaka Mitano..
Wakuu Mtakubaliana na Mimi Kwamba Ili Kuendesha Biashara Flani Kwa Mafanikio Itabidi Mhusika Awe na Atleast ABCs za Biashara.Na Ndo Mana Leo Hii Kuna Utitiri wa Business Consultant Firms.
Ila Mimi Niliwaza Kwa Upande Wa Serikali.Kwamba Serikali Ianzishe Ofisi Kila Wilaya za Kutoa Elimu ya Biashara na Kuhamasisha Ujasiriamali.. Vitu Vidogo Vidogo Kama Namna ya Kuandika Business Plans,Tax Management,Business Leadership n.k Ambavyo Vitainua Biashara Nyingi Ndogo Ndogo na Hivyo Kuongeza Nafasi za Ajira.
Kwa Serikali ya Marekani Wanafanya Hii Kitu Kupitia Us Small Business Administration.Na Ipo Pia Tovuti Ambapo Kuna Tutorials na Artocles Nyingi Zinazotoa Elimu ya Biashara.
Tembelea Us Small Business Administration Utajionea.
Kwa Hiyo Hata Kwa Serikali Yetu Pia Ikiwa na Website Maalum Kama Hiyo Itakua ni Nzuri.
Kuna Haja Kubwa Kwa Serikali Yetu Kuchukua Hatua Zinagusa Moja Kwa Moja Vijana Wakitanzania Mbali na Kuvutia Wawekezaji tu Ambao Mda Mwingine Huja na Wataalam Wao.
Mnainaje Huu Ushauri Wakuu..!Kuna Ugumu wa Kufanya Kitu Kama Hiki.