USHAURI: Serikali ifuatilie mahubiri yanayotolewa na baadhi ya wachungaji majira ya usiku na alfajiri

USHAURI: Serikali ifuatilie mahubiri yanayotolewa na baadhi ya wachungaji majira ya usiku na alfajiri

luangalila

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2014
Posts
6,346
Reaction score
6,928
Kuna mchungaji fulani yupo BUZA kwalulenge huwa ana ruka hewani kupitia redio fulani Usiku majira ya saa 4 alfajiri.

Tarehe 7/4/2022 ulitoa mahubiri ya ovyo sana yaliyo ashiria kuzalilisha jinsia KE, niko na audio ya hayo mahubiri.

Lugha uliyotumia ilikuwa ni ya uzalilishaji sanaa.
 
Back
Top Bottom