makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 31,583 Reaction score 92,670 Sep 29, 2021 #21 Baba unataka tozo ziwe mpaka kwenye pumzi zetu?
nasrimgambo JF-Expert Member Joined Jan 10, 2017 Posts 1,902 Reaction score 2,488 Mar 23, 2022 #22 Boligado said: Kama title inavyosema. Hili jambo la kujenga daraja kati ya Ferry na kigamboni kama ni gumu na lina gharama kubwa nashauri serikali ijenge tunnel ya chini ya bahari. Click to expand... Hili ni wazi zuri sana, yani kukiwa tunnel pale, Kigamboni itakuwa mjini hasa, Downtown dar itatanuka
Boligado said: Kama title inavyosema. Hili jambo la kujenga daraja kati ya Ferry na kigamboni kama ni gumu na lina gharama kubwa nashauri serikali ijenge tunnel ya chini ya bahari. Click to expand... Hili ni wazi zuri sana, yani kukiwa tunnel pale, Kigamboni itakuwa mjini hasa, Downtown dar itatanuka