Ushauri: Serikali ilifanye kaburi la Hayati Dkt. Magufuli liwe kumbukumbu ya kitaifa

Kwa hiyo leo unajua kuwa na mitazamo iliyo tofauti ni jambo jema?

Je kwann Magu alikua anapoteza walio mpinga?
Sipo kwenye Mambo ya kisasa, Nina ushahidi wa Yale aliyoyafanya mazuri ndiyo niliyoyatolea mifano

Wewe mwenye ushahidi wa yeye kupoteza watu Ni wakati Sasa wa kuuweka hadharani ili vyombo vya usalama vilifanyie kazi
 
Sipo kwenye Mambo ya kisasa, Nina ushahidi wa Yale aliyoyafanya mazuri ndiyo niliyoyatolea mifano

Wewe mwenye ushahidi wa yeye kupoteza watu Ni wakati Sasa wa kuuweka hadharani ili vyombo vya usalama vilifanyie kazi
"...vyombo vya usalama" duuh!
 
Wifi ni neno linalo tumika na wanawale. Kwasababu unaita watu mawifi zako je nitakua nimekosea nikisema wewe ni mwanamke?
Mwanzoni uliponiita mpumbavu ulijiona smart? Vyovyote iwavyo wewe Ni wifi tu
 
kabuli la dikteta magufuli
 
Kifupi,wasioona mazuri ya hayati JPM, ni wale wezi na wauza madawa ya kulevya,..ambao ni wengi ktk hii mtandao ya kijamii.

Ila ukweli walio wengi katika nchi hii wanatambua kazi ya Magufulina kwenye mitandao Huku hawako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…