Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Kiukweli kwa namna Simon Msuva anavyocheza sasa hivi, hakuna tofauti na wachezaji wengine wa ligi yetu ya NBC, tofauti na alipokuwa Wydad, Msuva hana stamina, hana confidence, hana control, anakata moto mapema sana, yote hayo yamesababishwa na kukaa nje kwa muda mrefu wakati akingojea hatma yake FIFA.
Namshauri Msuva, aende Simba tu kwani Yanga kumejaa na hawezi kucheza dakika 90, Simba atacheza hadi miguu ing'oke, otherwise Msuva anakwenda kupotea muda si mrefu.
Namshauri Msuva, aende Simba tu kwani Yanga kumejaa na hawezi kucheza dakika 90, Simba atacheza hadi miguu ing'oke, otherwise Msuva anakwenda kupotea muda si mrefu.