mtaratibuuuuuu
Member
- Aug 17, 2009
- 60
- 4
ni sahihi kusema
na ni sahihi zaidi 'kutatua' hilo tatizo
ikishindikana mpeana 'space' kwa muda ili kila mtu
atafakari kivyake ili kufikia muafaka...
vipi ikiwa mko kwenye ndoa?
Ikiwa mmekuwa na tatizo la muda mrefu na mwenzi wako,mmejitahd kulitatua ila linaonekana halitoisha,ukaamua kupotezea.Ila imetokea tatizo hilo limekupelekea wewe upunguze upendo kwa mwenzio.Je ni sahihi kumueleza hisia zako kuwa upendo umepungua?au inaweza kuleta shida zaidi?.