suprise, s up rise, mpe tigo
i am a married woman, 10 yrs in marriage.
Can you guys give an advice what i can do to surprise my husband? He is so good and i feel guilty, and i am out of ideas!!!!
I am just bored and busy with things, but he now and then think of something. Mimi ndio sijui nifanyeje na yeye ajisikie.
Kama hujawahi kumnunulia chochote maishani ka mnunulie tie, soksi au chupi...don´t waist time with exajurations, simple as that. Au other idea, angalia kitu ambacho anakipenda sana ambacho hakitakukosti sana...maana kwa wengine wakianza kuona unamjali sana basiiii tena na wao hubadilika kabisa.I am a married woman, 10 yrs in marriage.
Can you guys give an advice what I can do to surprise my husband? He is so good and I feel guilty, and I am out of ideas!!!!
I AM JUST BORED AND BUSY WITH THINGS, BUT HE NOW AND THEN THINK OF SOMETHING. MIMI NDIO SIJUI NIFANYEJE NA YEYE AJISIKIE.
sasa bi haika kwa kweli mumeo hatumjui tabia zake na yeey wawapi( ina maana sana)......ushauri unaotaka labda jifunue zaidi weka sawa mumeo ni wa aina hii na ile watu wajiachie....I am a married woman, 10 yrs in marriage.
Can you guys give an advice what I can do to surprise my husband? He is so good and I feel guilty, and I am out of ideas!!!!
I AM JUST BORED AND BUSY WITH THINGS, BUT HE NOW AND THEN THINK OF SOMETHING. MIMI NDIO SIJUI NIFANYEJE NA YEYE AJISIKIE.
weye utakuwa mchaga tu...ndio maana mnapigwa chini......angalia kitu ambacho anakipenda sana ambacho hakitakukosti sana...maana kwa wengine wakianza kuona unamjali sana basiiii tena na wao hubadilika kabisa.
ndio yepi hayo?Kama hujawahi kumfanyia massage jaribu hilo. Mpe message ya nguvu usiku wa surprise.
Mambo ya ice cream pia unaweza kujaribu kama unapenda, maana hi yataka moyo kama una kinyaa.
Usiwe busy kiasi hicho dear, ndoa kila siku inataka ugunduzi wa mambo mapya. Tafuta muda wa kuwa na mzee, kaeni pamoja, chezeni michezo ya kimapenzi.
Hongera kuwa na 10 years kwenye ndoa yako.
Mambo ya ramba ramba, mtu mzima ww unajua. Nimetumia tafsida hapa.ndio yepi hayo?
Suprise, s up rise, mpe tigo
hehehehe inabidi anogeshe kitu si anatelezeshea tu anajifanya kama hajui aone reaction yake kama mzee atashtuka kaingia mlango wa dharula akiona kimyaa hapo hapo anajikaza kisabuni baada ya mechi anamwambia lakini uliingie sio penyewe....mapenzi yanaanza upyaaaaaaaa.
hivi kuna siku inapita hujaongea habari za kujiexpress, sikuwezi
Mfano wa surprise wa mume unategemea na anapenda nini. Kwa mfano, kama ana gari, iangalie ina hali gani, i.e kama matairi hayaridhishi sana. Kama unajua kuendesha gari, muazime gari yake, kainunulie hiyo matairi mapya, tena yenye sports rim. Ipeleke car wash ikaonyeshwe vizuri, ing'ae kama mpya. Ipaki home na mrudishie funguo zake.
Kama gari hiyo iko sawa, mnunulie cover ya gari kwa ajili ya kuifunika hasa wakati wa usiku kuinginga na vumbi na umande, especially kama inalala nje (sio garage).
Kila la heri.