nachindundu
Member
- Aug 6, 2012
- 17
- 17
mimi ni kijana(wa kama miaka 23 hivi),na kama bahati nimebahatika kupata kazi sehemu flani,wananipa mshahara mkubwa tu,na niliowakuta kwenye department yangu,wengi ni wana umri karibia wa kustaafu,na hawana elimu sana (wengi wana certificate)...hapa ofisini nimepatiwa secretary ambaye ana umri kama mama yangu,,anapenda sana kazi yake na anajituma sana,na wote wanajishtukia niingiapo ofisini...wanachangamka nikiingia na misele inakua mingi
kutokana na scenario hiyo hapo juu...je?
1.ni vyema kumtuma mtu mzima ofisini?na je ni jambo la kawaida au ni kwangu tu?
2.ni mambo gani natakiwa kufahamu ninapofanya kazi na watu wenye umri mkubwa kuliko mimi?
3.je kama mkubwa anakosea nitumie njia gani kumkosoa au kumwelewesha?
4.nitafanya nini ili kuwe na ka usawa flani ki umri maana siko comfortable pamoja nao,au labda sijazoea....,,,,na kama ingekuwa ni wewe ungefanyaje?
ni mimi Nachindundu
kutokana na scenario hiyo hapo juu...je?
1.ni vyema kumtuma mtu mzima ofisini?na je ni jambo la kawaida au ni kwangu tu?
2.ni mambo gani natakiwa kufahamu ninapofanya kazi na watu wenye umri mkubwa kuliko mimi?
3.je kama mkubwa anakosea nitumie njia gani kumkosoa au kumwelewesha?
4.nitafanya nini ili kuwe na ka usawa flani ki umri maana siko comfortable pamoja nao,au labda sijazoea....,,,,na kama ingekuwa ni wewe ungefanyaje?
ni mimi Nachindundu