Ushauri Tafadhali


hapo sawa nimekusoma mkuu
 
Unataka kunichekesha mie, yaani kipimo kionyeshe mtoto ni wako halafu ushindwe kuukubali ukweli, utafurahi siku ukikuta huyo binti anajiuza barabarani coz maisha yamekuwa magumu kwake

Nashukuru kwa ushauri wako. Lakini vipi kuhusu muda uliopita mpaka sasa. Hata kama DNA ikionesha kweli ni wangu, nahisi itaniwia vigumu sana kuupokea huo ukweli.
 

Wewe msomi mbona unapata tabu. Fanya taratibu wasiliana na mama yake nendeni mahakamani kupata kibali (not case) ili muwahi kwa mkemia mkuu wa serikali. Una uwezo lipia DNA yako subiri majibu ni mwisho wa kila kitu. But wakati unafanya hayo weka wazi kwa mke wako black and white. Hili tatizo dogo sana kwa mke understanding maana mtoto kama atakuwa wa kwako atakuwa alipatikana wakati ambao hamjaoana na hukuwa na taarifa naye ndiyo maana hukumwambia wakati wa uchumba. Full stop.
 


Asante sana. Nitafanyia kazi ushauri wako.
 
Unataka kunichekesha mie, yaani kipimo kionyeshe mtoto ni wako halafu ushindwe kuukubali ukweli, utafurahi siku ukikuta huyo binti anajiuza barabarani coz maisha yamekuwa magumu kwake


Asante kwa ushauri. Lakini unazungumziaje kuhusu ukimya wa mama mtu kwa kipindi chote hicho cha takribani miaka 17?
 
huyo mtoto atakuwa wako, huyo mdada alifanya siri hakutaka watu wajue kwamba ulimpa mimba, ila mtoto amekuwa na kuanza kukumsumbua anataka baba yake hakuwa na jinsi imebidi amuonyeshe baba yake. Angekuwa ni muongo angekuongopea mapema ili apate matumizi ya mtoto, lakini kalea mimba, kalea mtoto mpaka amekua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…