bibie mamkindi Ikiwa unapata siku zako za Hedhi kwa tarehe27 kila mwezi basi itabidi umuambie mpenzi wakokwa kawaida huwa ninapata hedhi baada ya siku 27 au 30, nimajaribu kama miezi mitatu kupata ujauzito ila naona hola. naombeni ushauri hapo ni siku zipi sahihi za kupata ujauuzito. pia naweza kutumia multvitamin bila kuapata ushauri wa daktari.