Ushauri tafadhali

The FaMa

Senior Member
Joined
Oct 6, 2011
Posts
125
Reaction score
27
Habari,
Naombeni kujuzwa kisheria katika hili.

Je, inawezekana kufungua kesi ya madai katika mahakama ya wilaya na kisha mimi mdai nikaweka wakili wa kuniwakilisha katika kesi hiyo pasipo mimi kuhudhuria mahakamani kila wakati wa kesi? Sababu ya kutohudhuria ni labda niko mbali na kesi iliko, labda Kigoma na kesi iko Dar! Na hiyo ni kutokana na uendeshaji wa kesi kuwa ni wa kusikiliza na kuahirishwa mara kwa mara?

Natanguliza shukrani.
 
yeah kweny mahakama ya wilaya unaweza kumtumia advocate kwa kaz zote. Appearance ya advocate ni sawa na appearance ya mwenye kesi mwenyewe so haina shida na pia advocate ana power ya kusign documents kwa niaba yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…