Ushauri tafadhari!

Wilson Joseph

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2012
Posts
311
Reaction score
275
Asalaam alaykum, Shaloom , Bwana Yesu asifiwe nawasalimu enyi ndugu zng katika Jf
Leo nimefika apa kuomba ushauri na namna ya Kuendesha mshine ya kukatia miti (Chain Saw) Kwa anaejua gharama yake
.Namna ya kuindesha kifaida
.Bei ya io mashine ikiwa mpya
.Mtu akichukua mkopo kwa kazi io inaweza rudisha
Na mengine mengi kwa ataekua na ufahamu wa ilo ntashukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…