Ushauri tafadhari!!!!!!!


Hapo umemaliza kabisa... Its very true
 
khaa! hapa labda ungenijibu maswali yangu hivi unaonaje ukimruhusu huyu binti aingie humu jamvini na ID yako ili nimuulize yeye maswali yangu? manake kwa uelewa wangu maswal yangu huna majibu nayo. so sina msaada kwa sasa.
 
khaa! hapa labda ungenijibu maswali yangu hivi unaonaje ukimruhusu huyu binti aingie humu jamvini na ID yako ili nimuulize yeye maswali yangu? manake kwa uelewa wangu maswal yangu huna majibu nayo. so sina msaada kwa sasa.

Yeye Ni Mmalaw Na Hajui kiswahl wala Mambo Ya JF
 
Yeye Ni Mmalaw Na Hajui kiswahl wala Mambo Ya JF

aah! hapo subiria siku tukianza vita nao wewe ndo utatolewa muhanga ha ha ha ha ha ha ha ha! sina msaada wa mawazo kiukweli.
 
Gf wako hajui kiswahili kwani na yeye ni mzungu kama cathy?
 
gfsonwin
Kwa Hyo Ndo Unapta Mkuu?
Tafadhar Toa Japo 1 tu Ulilonalo!
 
Hapa kuna kitu haukifahamu kuhusu gf wako! Vuta subira utakuja kutwambia mwenyewe
 
mulika mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
mulika mwiziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Hii Ishu Kanitonya Yeye Mwenyewe Na Wala Mimi ckuijua Na Akasema Labda Awe Anazma Cm pind 2 Anapohs Jamaa Anataka Kusafr
Mi Nkasema Haitasaidia zaid Ya Kujiongezea Kes Kazn
 
Kwani mawasiliano yao si kuhusu kazi? Kama ni kuhusu kazi tatizo lipo wapi? Kama ni mawasiliano nje ya kazi then ndo kuna tatizo
 
yaweza kuwa defensive mechanism, ndio maana nakuambia mulika mwizi, maana yangu ni ufanye uchunguz binafsi ujue ukweli wa jambo uko wap,,
Hii Ishu Kanitonya Yeye Mwenyewe Na Wala Mimi ckuijua Na Akasema Labda Awe Anazma Cm pind 2 Anapohs Jamaa Anataka Kusafr
Mi Nkasema Haitasaidia zaid Ya Kujiongezea Kes Kazn
 
Kwani mawasiliano yao si kuhusu kazi? Kama ni kuhusu kazi tatizo lipo wapi? Kama ni mawasiliano nje ya kazi then ndo kuna tatizo

Mawasiliano Yao Ni Kazn 2
Kwan cjawah Kushuhudia Kuwasiliana Nae Hata 2kiwa Out!
 
yaweza kuwa defensive mechanism, ndio maana nakuambia mulika mwizi, maana yangu ni ufanye uchunguz binafsi ujue ukweli wa jambo uko wap,,

Ingawa Sasa Kibao Kimenigeukia Mim
Poa Nitafanya Kama Ulivyonishaur.!
Asante mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…