Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari!
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) au PCCB ivunjwe maana inaiongezea serikali gharama za uendeshaji. Manufaa yake ni kidogo sana, taasisi zingine ndani ya serikali hii ya JMT zinaweza kufanya majukumu yanayofanywa na PCCB.
Nina miaka 7 ndani ya serikali, sijawahi kuona afisa wa PCCB anakuja kufuatilia manunuzi yanayofanywa na ofisi yetu direct au yaliyofanywa na mzabuni licha ya kuwa kwa nature ya taasisi yetu manunuzi yanafanyika kwa kiwango kikubwa.
Wakiagizwa na Waziri mkuu au waziri wa wizara husika waje wakague au waende ofisi fulani wakague hesabu za kihasbu ndani ya dk 30 wamefika.
Ni taasisi inayosubiri amri kutoka juu kila leo. Licha ya kuwa na authority ya kuruhusiwa kukagia ofisi zote za umma hata binafsi lakini huoni wanafanya hivyo.
Wakijitahidi sana basi wataenda shule na kuhamasisha wanafunzi wajiunge na anti corruption league . Na vijana wakidanganyana kuwa wataweza kuajirika PCCB kwa vyeti vile basi wanajazana.
Rushwa ndani ya Afrika huwezi kupambana nayo kwa kuelimisha bali kwa mkono wa chuma (ufuatiliaji kwenye field).
Ifutwe kabisa au ifumuliwe iundwe upya
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) au PCCB ivunjwe maana inaiongezea serikali gharama za uendeshaji. Manufaa yake ni kidogo sana, taasisi zingine ndani ya serikali hii ya JMT zinaweza kufanya majukumu yanayofanywa na PCCB.
Nina miaka 7 ndani ya serikali, sijawahi kuona afisa wa PCCB anakuja kufuatilia manunuzi yanayofanywa na ofisi yetu direct au yaliyofanywa na mzabuni licha ya kuwa kwa nature ya taasisi yetu manunuzi yanafanyika kwa kiwango kikubwa.
Wakiagizwa na Waziri mkuu au waziri wa wizara husika waje wakague au waende ofisi fulani wakague hesabu za kihasbu ndani ya dk 30 wamefika.
Ni taasisi inayosubiri amri kutoka juu kila leo. Licha ya kuwa na authority ya kuruhusiwa kukagia ofisi zote za umma hata binafsi lakini huoni wanafanya hivyo.
Wakijitahidi sana basi wataenda shule na kuhamasisha wanafunzi wajiunge na anti corruption league . Na vijana wakidanganyana kuwa wataweza kuajirika PCCB kwa vyeti vile basi wanajazana.
Rushwa ndani ya Afrika huwezi kupambana nayo kwa kuelimisha bali kwa mkono wa chuma (ufuatiliaji kwenye field).
Ifutwe kabisa au ifumuliwe iundwe upya