Ushauri: TAMISEMI ina haja ya kuwa na Mawaziri Watatu?

Ushauri: TAMISEMI ina haja ya kuwa na Mawaziri Watatu?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,669
Reaction score
8,268
Wakuu kulingana na Madudu yanayoendelea Tamisemi, Hii wizara ya TAMISEMI ilitakiwa kuwa na mawaziri WATATU.
.
Hoja yangu ni kwamba TAMISEMI TECHNICALLY INAUNGANISHA WIZARA ZOTE.
.
SO Inahitajika mtu mwenye CAPACITY KUBWA SANA YA KUFANYA COORDINATIONS YA VITU VYOTE.
.
Otherwise MAWAZIRI WATATU WANAFAA.


Alafu pia TAMISEMI siyo wizara ya kisiasa ni 100% Management
 
TAMISEMI Ni kama wizara ni ndogo lakini KIUTENDAJI NI WIZARA KUBWA SANA.
 
Wakuu kulingana na Madudu yanayoendelea Tamisemi, Hii wizara ya TAMISEMI ilitakiwa kuwa na mawaziri WATATU.
.
Hoja yangu ni kwamba TAMISEMI TECHNICALLY INAUNGANISHA WIZARA ZOTE.
.
SO Inahitajika mtu mwenye CAPACITY KUBWA SANA YA KUFANYA COORDINATIONS YA VITU VYOTE.
.
Otherwise MAWAZIRI WATATU WANAFAA.


Alafu pia TAMISEMI siyo wizara ya kisiasa ni 100% Management
Madudu yapi?
 
Back
Top Bottom