Ushauri: TANAPA,TTB wajenge jengo la kisasa la kutangaza utalii Kanda ya Ziwa

Ushauri: TANAPA,TTB wajenge jengo la kisasa la kutangaza utalii Kanda ya Ziwa

dndagula

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
1,602
Reaction score
1,650
Mimi ni mwekezaji katika sekta ya utalii kanda ya ziwa lakini jambo linalokatisha tamaa ni kuwa ukanda huu pamoja kuwa na Hifadhi za Taifa za Burigi Chato, Serengeti, Sanane, Rubondo Kimisi, Rumanyika lakini hakuna jengo na raslimali watu inayoakisi nia ya serikali kuendeleza utalii wa kanda hii. Pamoja na jitihada zake binafsi Rais bado kuna jaja ya kujenga miundo mbinu zaidi kwa hili.

Nashauri ijengwe ofisi ya kimkakati Mwanza, Geita na maeneo km Chatto ambako Serikali imeanza kuwekeza kuvutia uwekezaji na utalii.

Aidha kuna haja ya kuangalia uwezekano wa kujenga kituo kimgine cha uwekezaji ili kuvutia uwekezaji.

Mchango wa kanda hii kwenye GDP ni mkubwa mno wakati tupo kwenye uchumi wa kati kuna umuhimu wa kuboresha maeneo kadhaa ya kimkakati kiuchumi.

Ushauri huu usitafsriwe kuwa ni upemdeleo bali ni ushauri unaozingatia uhalisia.
 
Kwani kujenga Chato ni kosa. Chato siyo Tanzania.
 
Noted. Endelea kufuatilia vyombo vya habari,soon utaona Kijazi,Mama Mdachi na Jaji Mihayo huko Chato.
 
Huwezi kuwa na hifadhi zote hizo hiyo kanda halafu huna jengo au miundo mbinu ya uendelezaji utalii. Hii haiwezekani. Jitihada za ku promote utalii zitaishia hewani.Ijengwe Chatto au popote hiyo siyo issue muhimu jengo na raslimali watu viwepo ili kuwa na sustainability. Na hii pia ifanywe hivyo kanda ya kusini.
 
Mimi ni mwekezaji katika sekta ya utalii kanda ya ziwa lakini jambo linalokatisha tamaa ni kuwa ukanda huu pamoja kuwa na Hifadhi za Taifa za Burigi Chato, Serengeti, Sanane, Rubondo Kimisi, Rumanyika lakini hakuna jengo na raslimali watu inayoakisi nia ya serikali kuendeleza utalii wa kanda hii. Pamoja na jitihada zake binafsi Rais bado kuna jaja ya kujenga miundo mbinu zaidi kwa hili....
Una ofisi yako wapi mkuu, Chato?

Hongera kwa kuunga juhudi.
 
Mimi ni mwekezaji katika sekta ya utalii kanda ya ziwa lakini jambo linalokatisha tamaa ni kuwa ukanda huu pamoja kuwa na Hifadhi za Taifa za Burigi Chato, Serengeti, Sanane, Rubondo Kimisi, Rumanyika lakini hakuna jengo na raslimali watu inayoakisi nia ya serikali kuendeleza utalii wa kanda hii. Pamoja na jitihada zake binafsi Rais bado kuna jaja ya kujenga miundo mbinu zaidi kwa hili...
Wajenge chato
 
Mimi ni mwekezaji katika sekta ya utalii kanda ya ziwa lakini jambo linalokatisha tamaa ni kuwa ukanda huu pamoja kuwa na Hifadhi za Taifa za Burigi Chato, Serengeti, Sanane, Rubondo Kimisi, Rumanyika lakini hakuna jengo na raslimali watu inayoakisi nia ya serikali kuendeleza utalii wa kanda hii. Pamoja na jitihada zake binafsi Rais bado kuna jaja ya kujenga miundo mbinu zaidi kwa hili....

Mwanza lakini. Sio kwengineko
 
Ijengwe chato ndio lango kuu la utalii kanda ya ziwa
 
Ni sahihi kabisa ni muhimu wakajenga ofisi zao kanda ya ziwa ili kuweza kukuza sekta ya utalii
 
Kaka naomba kibarua kwenye uwekezaji wako katika eneo hili la Utalii, hata Curio Shop Attendant tu! Nina uzoefu na shughuli nyingi za porini yaani Related Tourism fields and Hospitality issues.
 
Mlima Kilimanjaro uko Ethiopia, ushahama Kenya sasa
 
Back
Top Bottom