Ushauri: Tanzania iwafukuze mabalozi wa Marekani na Uingereza kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu

Ushauri: Tanzania iwafukuze mabalozi wa Marekani na Uingereza kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yetu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
 
Nchi haiongozwi Kama unaongoza familia, inaweza kufikia huko ila lazima hatua za awali zifeli

By the way, aliyekwambia taarifa za corona zinatolewa na raisi, vice na waziri mkuu ni nani?
 
Ubabe nao sio mzuri, mataifa hayo uliyotaja Marekani na Uingereza ndiyo wanaotupa misaada mingi na utupa mikopo sasa mtaanzia wapi kuwafukuza, mapato ya ndani hayatoshi kufanya miradi ya maendeleo
 
Kuongea ni kitu kimoja, na kutenda ni kitu kingine.

Ni rahisi sana kusema wafukuzwe, lakini kiutendaji ni jambo gumu sana. Tutaongea na kulalamika sana lakini mwishowe serikali itapiga magoti kwa hao mnaowahita mabeberu.

Kusema kweli tunawahitaji hao mabeberu kuliko ambavyo hao mabeberu wanatuhitaji.
 
Balozi wa China alipopanda jukwaani Shinyanga kwenye kampeni za CCM alionekana ni shujaa, Marekani wakitoa maoni yao inaonekana wanaingilia mambo ya ndani.
 
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
True Kisha tugome kabisa kupokea misaada yao sisi ni Dona country hatujaribiwi
 
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Ni kweli tunatakiwa tukemee hii hali,au kufanya hata maandamano ya kupinga wanachokifanya,ila kufunga hizo balozi iwe ni hatua ya mwisho sana...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inafahamika kwamba taarifa kuhusu korona zinatolewa na Rais, Makamu wa Rais na Waziri Mkuu.

Balozi za Uingereza na Marekani zinatoa vipeperushi na kusambaza dunia nzima kwamba Dar es Salaam na maeneo mengine nchini, corona imetapakaa na mahospitali yamezidiwa wagonjwa.

Kauli hizi zinaingilia taratibu za nchi yetu, na in tabia za kibeberu na kizandiki.

Dawa in moja tu, wafukuzwe na balozi zao zifungwe kwa muda usiojulikana.

Nashauri UVCCM kwa kushirikiana na MATEGE wafanye maandamano ya amani kwenda kwenye balozi hizo wakiwa na mabango yenye laana dhidi ya mabeberu hawa.
Ukiwafukuza na wao wakigoma kuleta sukari. Si mtahaha kama juzi hapa. Sukari tu inawashinda mpaka muagize nje.
 
Back
Top Bottom