PNC
JF-Expert Member
- Feb 3, 2015
- 8,106
- 14,353
Ndugu wana wana JamiiForums,
Dada yangu ana mimba ya miezi 6 kasoro, ila majuzi chupa yake ya uzazi imepasuka na inamwaga sana maji mfululizo ukeni, ila hasikii maumivu na akaandikiwa sindano. Dokta kasema baada ya siku 2 hali yake itakuwa safi ila hapaswi kufanya kazi yeyote.
Je, anaweza akaja kujifungua salama? Na nini tatizo hadi chupa ipasuke kabla ya wakati wake?
Naomba ushauri wanaJF wenzangu..
Dada yangu ana mimba ya miezi 6 kasoro, ila majuzi chupa yake ya uzazi imepasuka na inamwaga sana maji mfululizo ukeni, ila hasikii maumivu na akaandikiwa sindano. Dokta kasema baada ya siku 2 hali yake itakuwa safi ila hapaswi kufanya kazi yeyote.
Je, anaweza akaja kujifungua salama? Na nini tatizo hadi chupa ipasuke kabla ya wakati wake?
Naomba ushauri wanaJF wenzangu..