USHAURI: Timu yoyote itakayopata uwakilishi mechi za kimataifa fanyeni hivi

USHAURI: Timu yoyote itakayopata uwakilishi mechi za kimataifa fanyeni hivi

Papa Mopao

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2009
Posts
4,153
Reaction score
2,647
Tuondoe ushabiki ushabiki wa Simba na Yanga na kadhalika

Wekeni moyo mmoja wa kusaidiana kusajili wachezaji wazuri katika nafasi zote ikiwezekana kuanzia KIPA, MABEKI, VIUNGO NA WASHAMBULIAJI MATATA wenye uwezo mkubwa wa kushindana mashindano makubwa ya kimataifa ngazi zote, ikiwezekana tengeni bajeti nzuri kwaajili ya hili zoezi.

Tengenezeni kamati nzuri za ufundi katika timu kuhakikisha matokeo mazuri yanapatikana ndani ya uwanja na nje ya uwanja.

Tumejifunza kupitia Simba na timu zingine za nje hasa TP Mazembe na wengineo jinsi walifanya usajili mzuri na kadhalika

Ushauri wowote wenye manufaa mnaweza kuchangia hapa ili mdau yeyote akipita hapa achukue mawazo apeleke kwenye klabu kuyafanyia kazi

Natamani timu yoyote inayowakilisha nchi zifike mbali zote ikiwezekana Klabu Bingwa, CAF na Shirikisho.

Tunaweza



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom