Asee mi pia nahtaj sana kufaham hii kituNaomba mwenye kujua TRA wanakubali mmiliki mwenye TIN moja akaitumia kwenye Biashara zaidi ya moja? je utaratibu wa malipo ya KODI utakuaje.
Naomba kuwasilisha
Naomba mwenye kujua TRA wanakubali mmiliki mwenye TIN moja akaitumia kwenye Biashara zaidi ya moja? je utaratibu wa malipo ya KODI utakuaje.
Naomba kuwasilisha
Nieleweshe basiNimejifunza kitu.
Sawa tin ni moja tu lakini lazima tra wajue kuwa inatumika kwenye biashara zaidi ya moja, na kodi itatozwa kwenye biashara zote mbili, kila biashara itakuwa na file lake.Tin nihiyo hiyo moja ila leseni yabiashara ndio itakubidi kila biashara/ofisi ijitegemee