Ushauri: Tumekuwa wachumba kwa miaka mitatu lakini sijawahi kufika nyumbani kwake. Hii inaweza kuathiri chochote?

Ushauri: Tumekuwa wachumba kwa miaka mitatu lakini sijawahi kufika nyumbani kwake. Hii inaweza kuathiri chochote?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Naomba mnisadie hili jambo.

Nimedumu na mpenzi wangu kipenzi kwa muda wa miaka mitatu mpaka sasa.

Tuna ndoto kubwa ya kuja kuwa wanandoa muda si mrefu, lakini katika miaka mitatu mimi "male" sijawahi kufika nyumbani kwake.

Yeye mara kwa mara huja nyumbani kwangu kunitembelea, sasa amekuwa akinilalamikia mara kwa mara kwa nini siendi kwake? Kiufupi mimi huwa sina tabia ya kwenda kwa mwanamke ndio msimamo wangu nilio jiwekea.

Naomba mnipe ushauri vijana wenzangu kwa huu msimamo wangu unaweza kuathiri chochote kwenye mahusiano yetu? Ahsanten 🙏🙏
 
Kama yeye anakukaribisha na unakataa, siyo mbaya sana.

Ila ujue kuna confidence unajipotezea.

Hujawahi kwenda kwake for 3 good years, hujui anaishi na nani, hujui anaishije ishije.

Jiulize swali moja, akipata tatizo hapo nyumbani kwake unadhani atakupigia wewe ukalitatue wakati anajua hutaenda?

Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinakuwa fixed na wanaume kwenye nyumba, hivyo ungekuwa umepafanya pale kama kwako ungeweza kuwa msaada kwa hayo.

Kwa wewe kutoenda, jua kuna mwanaume anayefanya hizo kazi.
 
Kama yeye anakukaribisha na unakataa, siyo mbaya sana.

Ila ujue kuna confidence unajipotezea.

Hujawahi kwenda kwake for 3 good years, hujui anaishi na nani, hujui anaishije ishije.

Jiulize swali moja, akipata tatizo hapo nyumbani kwake unadhani atakupigia wewe ukalitatue wakati anajua hutaenda?

Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinakuwa fixed na wanaume kwenye nyumba, hivyo ungekuwa umepafanya pale kama kwako ungeweza kuwa msaada kwa hayo.

Kwa wewe kutoenda, jua kuna mwanaume anayefanya hizo kazi.
Ahsante kwa ushauri mzuri.
 
unamuita mchumba umemlipia mahari??familia zenu zinatambuana??au umekurupuka huko uliko mkaenda kukutanisha miili yenu ghafla akawa mchumba[emoji28][emoji28]hatari sana[emoji28]

Kaa hata miaka ishirini usijali.kwanza si vyema mchumba mwanaume kwenda nyumbani kwa mchumba mwanamke[emoji38][emoji38]
Dah nimecheka
Umenikumbusha mchepuko wangu fulani
Yeye hupenda kutumia neno hili

"Kukutanisha vikojoleo"
 
unamuita mchumba umemlipia mahari??familia zenu zinatambuana??au umekurupuka huko uliko mkaenda kukutanisha miili yenu ghafla akawa mchumba😅😅hatari sana😅

Kaa hata miaka ishirini usijali.kwanza si vyema mchumba mwanaume kwenda nyumbani kwa mchumba mwanamke😆😆
😭😭😭😭
 
Uchumba wa miaka mitatu huo sio uchumba ni sehemu yako rahsi ya kushusha wazungu miaka mitatu hata kutema mate shemej hamna hahaha hapana aisee
 
😄😄😄 Mwisho saa nne umechelewa
Screenshot_20210401-110859~2.png
 
Back
Top Bottom