Kama yeye anakukaribisha na unakataa, siyo mbaya sana.
Ila ujue kuna confidence unajipotezea.
Hujawahi kwenda kwake for 3 good years, hujui anaishi na nani, hujui anaishije ishije.
Jiulize swali moja, akipata tatizo hapo nyumbani kwake unadhani atakupigia wewe ukalitatue wakati anajua hutaenda?
Kuna baadhi ya vitu ambavyo huwa vinakuwa fixed na wanaume kwenye nyumba, hivyo ungekuwa umepafanya pale kama kwako ungeweza kuwa msaada kwa hayo.
Kwa wewe kutoenda, jua kuna mwanaume anayefanya hizo kazi.