Ushauri: Tumekuwa wachumba kwa miaka mitatu lakini sijawahi kufika nyumbani kwake. Hii inaweza kuathiri chochote?

Muda wote huo hujawahi shtuka sasa leo mpaka kuja kujiuliza na hatimaye ukashindwa kupata majibu ukaamua kutuuliza na sisi huku maana yake shida tayari ipo mahali.
 
Naunga mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…