Ushauri Uimara wa Pajero io , GDI

Ushauri Uimara wa Pajero io , GDI

Joined
May 13, 2014
Posts
19
Reaction score
7
Wadau naomba ushauri juu ya uimara wa Mitsubishi Pajero io , Body na utendaji kazi wa Injini yake.
Picha yake nimeambatisha .
1475570230808.jpg
 
Pajero has one of the most stable cars on the road... Hivi ushawahi kukutana na Pajero imekula mzinga? I was very astonished siku nimeazima io nilikuwa nakula speed bila wasi wasi...
Tatizo tu uipate gari ambayo iko kwenye hali nzuri... Usinunue screpa utaifurahia...
 
hiyo gari tatizo lake kubwa ni moja tuu?? mafuta MAFUTA MAFUTA MAFUTA ni bora hata toyota zenye engine ya D4 zinaweza zikawa na roho ngum lakini sio GDI hiyo ukiweka mafuta ya kidebe au yaliyochakachuliwa au ,afuta ambayo sio kiwango inakugomea hapo hapo hainaga urafiki wala huruma.

na gdi pump zake huwa zinaharibika haraka sana ukiweka mafuta mabaya??hivyo kama upo mkoa ambao kupata uhakika wa mafuta mazuri ni ishu aisee usiichukue.watakuja wengine wakisema gari hiyo ni ugonjwa wa moyo waulize kwa nini??

mbali na hayo ni gari nzuri sana matumizi ya mafuta iko powa sana sema inahitaji ufanye service kwa wakati gari inaweza ikakosa nguvu haibadili gia kisa airclener tu chafu?.

ni aina ya gari amabayo inatumia umeme mwingi.
 
hiyo gari tatizo lake kubwa ni moja tuu?? mafuta MAFUTA MAFUTA MAFUTA ni bora hata toyota zenye engine ya D4 zinaweza zikawa na roho ngum lakini sio GDI hiyo ukiweka mafuta ya kidebe au yaliyochakachuliwa au ,afuta ambayo sio kiwango inakugomea hapo hapo hainaga urafiki wala huruma.

na gdi pump zake huwa zinaharibika haraka sana ukiweka mafuta mabaya??hivyo kama upo mkoa ambao kupata uhakika wa mafuta mazuri ni ishu aisee usiichukue.watakuja wengine wakisema gari hiyo ni ugonjwa wa moyo waulize kwa nini??

mbali na hayo ni gari nzuri sana matumizi ya mafuta iko powa sana sema inahitaji ufanye service kwa wakati gari inaweza ikakosa nguvu haibadili gia kisa airclener tu chafu?.

ni aina ya gari amabayo inatumia umeme mwingi.
Mkuu acha kumtisha ,mimi ninayo mwaka wa 3 sasa na mafuta ninaweka hovyo hovyo kwenye petrol station yoyote ile ninapokuwa nimeishiwa mafuta sijawahi pata hilo tatizo,ingawa hata mimi kabla sijanunua niliwahi kuambiwa story inayofanana na hiyo.
 
hiyo gari tatizo lake kubwa ni moja tuu?? mafuta MAFUTA MAFUTA MAFUTA ni bora hata toyota zenye engine ya D4 zinaweza zikawa na roho ngum lakini sio GDI hiyo ukiweka mafuta ya kidebe au yaliyochakachuliwa au ,afuta ambayo sio kiwango inakugomea hapo hapo hainaga urafiki wala huruma.

na gdi pump zake huwa zinaharibika haraka sana ukiweka mafuta mabaya??hivyo kama upo mkoa ambao kupata uhakika wa mafuta mazuri ni ishu aisee usiichukue.watakuja wengine wakisema gari hiyo ni ugonjwa wa moyo waulize kwa nini??

mbali na hayo ni gari nzuri sana matumizi ya mafuta iko powa sana sema inahitaji ufanye service kwa wakati gari inaweza ikakosa nguvu haibadili gia kisa airclener tu chafu?.

ni aina ya gari amabayo inatumia umeme mwingi.
Sio gari ya kutisha kihivyo. Nimeitumia miaka miwili na ushee bila shida. Nimeweka sana pia mafuta ya vidumu kule Mvuti na maeneo ya jirani. Nimeiuza mwanzo wa mwaka huu ikiwa bomba kabisa, nimebadili nimechukua Nissan.
 
Mkuu acha kumtisha ,mimi ninayo mwaka wa 3 sasa na mafuta ninaweka hovyo hovyo kwenye petrol station yoyote ile ninapokuwa nimeishiwa mafuta sijawahi pata hilo tatizo,ingawa hata mimi kabla sijanunua niliwahi kuambiwa story inayofanana na hiyo.
Sio gari ya kutisha kihivyo. Nimeitumia miaka miwili na ushee bila shida. Nimeweka sana pia mafuta ya vidumu kule Mvuti na maeneo ya jirani. Nimeiuza mwanzo wa mwaka huu ikiwa bomba kabisa, nimebadili nimechukua Nissan.
wakuu mm sijamtisha bali nimemwambia coz GDI na D4 lao ni moja na ubovu au usumbufu wa hizo engine ni kwenye mfumo wa mafuta tuu basi sio mara 1 au 2 watu zinawazingua kwa kuweka mafuta mabaya.

pili kuhusu service lazima ufanye kwa wakati nazani nyie hilo mlikuwa mnazingatia coz gari nyingi za mfumo wa d4 hasa GDI ukipitisha sana service na engine ikijenga uchafu kama ukoko itakusumbua sababu kwenye pump ya engine huwa unajaa huo uchafu na kufanya pump ishindwe kupress mafuta vizuri na yanakosa preesure ya kutosha na hapo ndio gari hushinda gereji.

mm nilikuwa nampa ushauri kwa upande wa pili
 
wakuu mm sijamtisha bali nimemwambia coz GDI na D4 lao ni moja na ubovu au usumbufu wa hizo engine ni kwenye mfumo wa mafuta tuu basi sio mara 1 au 2 watu zinawazingua kwa kuweka mafuta mabaya.

pili kuhusu service lazima ufanye kwa wakati nazani nyie hilo mlikuwa mnazingatia coz gari nyingi za mfumo wa d4 hasa GDI ukipitisha sana service na engine ikijenga uchafu kama ukoko itakusumbua sababu kwenye pump ya engine huwa unajaa huo uchafu na kufanya pump ishindwe kupress mafuta vizuri na yanakosa preesure ya kutosha na hapo ndio gari hushinda gereji.

mm nilikuwa nampa ushauri kwa upande wa pili
LEGE, huu ushauri wako ni sahihi kabisa. GDI ni gari isiyotaka mafuta ya hovyo kabisa kama unataka iwe kwenye kiwango na isikusumbue. Hao waliosema walikuwa wanaweka mafuta ya vidumu, ni mambo ya kubahatisha, inawezekana walibahatisha masafi. GDI io zina fuel pump mbili, moja low pressure pump(LPP) na nyingine High pressure pump(HPP). Unapoendesha hii gari chini ya 50km/hr, LPP inatumika. Ukiongeza speed zaidi ya hapo, HPP inafungunguka ili kulipa gari nguvu zaidi.

Hii pump ya HPP ndani imetengenezwa kwa mtindo ambao kukiingia uchafu wa aina yoyote, inashindwa kusukuma mafuta kwa ile nguvu iliyohitajika, matokeo yake ni gari kukosa nguvu kabisa haswa unapotaka kuongeza mwendo zaidi ya 50km/hr.

Ukweli ni kama ulivyosema, hizi gari ni nzuri sana, very Comfortable na zina speed mno. Ila ili ulifurahie ni lazima masharti yazingatiwe. Spare zake watu wanasema ni ghali, ni kweli ila sio kivile, uzuri ni kwamba ukipata Og. unafunga na kusahau.

Hii gari ninayo mwaka wa tano sasa, mwanzoni nilikuwa ninatumia Suzuki sikuifurahia kama hii.
 
SWALI LA NYONGEZA
1. Kwakuwa body lake ni imara sana na linavutia kama lilivyo body la NISAN BIGHON na kwakuwa magari haya yote mawili kiuhalisia hapa bongo yamewashinda wengi achilia mbali bei rahisi yanaouzzwa, Je ! mh. spika naweza kubadili engine na gear box na kuweka za toyota iliyozoeleka hapa bongo kwa upatikanaji wa spea na hayachagui mafuta?
 
Hapa tutabishana mpaka asubuhi,hayo masharti unayoyasema mkuu Ngorunde yanatakiwa kwenye gari yoyote ile,usimtishe mnunuaji kuwa hiyo gari ina masharti magumu kiasi hicho,mimi ni mtumiaji wa hiyo gari na swala la mafuta ninaweka popote pale na haijawahi kunisumbua,hizi gari zina vitisho kama tulivyopata kwa gari za D4 na Vvti na wanosambaza hizi taarifa ni mafundi uchwala wasiozielewa hizo engine.Ila ni gari nzuri,engine performance ni excellent ukilinganisha na udogo wake,ukija kwenye fourwheel drive ndio usipime ni hatari tupu.
 
SWALI LA NYONGEZA
1. Kwakuwa body lake ni imara sana na linavutia kama lilivyo body la NISAN BIGHON na kwakuwa magari haya yote mawili kiuhalisia hapa bongo yamewashinda wengi achilia mbali bei rahisi yanaouzzwa, Je ! mh. spika naweza kubadili engine na gear box na kuweka za toyota iliyozoeleka hapa bongo kwa upatikanaji wa spea na hayachagui mafuta?
Ndugu, Nissan hawana model inayoitwa Big Horn, umechanganya na Isuzu Big horn labda. Cheki upya taarifa zako.
 
Ndugu, Nissan hawana model inayoitwa Big Horn, umechanganya na Isuzu Big horn labda. Cheki upya taarifa zako.
Ni kweli nimekosea , sasa nijibu swali kama inawezekana kuweka engine na gearbox nyingine maana kwa sura ni zuri, kubwa, na iko juu lakini inamalamikiwa sana kwamba tatizo lake kila siku utakuwa mteja wa mafundi.
 
Ni kweli nimekosea , sasa nijibu swali kama inawezekana kuweka engine na gearbox nyingine maana kwa sura ni zuri, kubwa, na iko juu lakini inamalamikiwa sana kwamba tatizo lake kila siku utakuwa mteja wa mafundi.
Gari ipi unayotaka kuichakachua engine? Mwagika usaidiwe
 
Mitsubishi pajero io ina muonekano mzuri, maana ya io ni "my" maana inaakisi your attitude and status--A young cruiser, offroader and town hustler... kama vile "mdogo jeuri". Ninaipenda sana, nina miaka nao mitatu hainisumbui. Ina 4wd ya nguvu hizi midsize SUVs hazioni ndani labda suzuki vitara old model. Ina cruise freshi highway--nimepiga nayo dar tanga na kurudi saa hiyohiyo siku hiyohiyo with no any complication, nimeenda nayo dar mwanza na kurudi nayo iko freshi hakuna kunisumbua hata kidogo--ina nguvu ya kupambana na magari makubwa yake kama 3-4.2 L engines. Kwa town unatesa nayo- low-to-moderate fuel consumption, easy parking, easy kupenyezapenyeza kwenye vichochoro na mafoleni.
Ina sound system nzuri, speaker original built in mpka nyuma with bass and treble na balancing options.
Ina airbag driver na front passenger bag.
Body yake ni square--i like the square body kuliko umbo la mayai, inaonyesha u gentle man(hasa working class slim person).

Disadvantage: mwisho wa model ni 2006, brazil wanatengeneza mpaka sasa inaitwa TR4.

Usiweke madereva wengi kama private use ni sawa.
Nafasi ya viti vya kati ni ndogo, ni gari nzuri kwa watu wawili ila kama una abiria wakubwa na warefu basi wataingia kwa kujibana sana--hasa leg room kwa seat ya kati ni finyu.

Spea ghali kidogo kuliko toyota--plug origino 30000 to 35000 kwa moja, bush 30000 mpaka 35000 kwa pair (ila oiginal). Spea pia zipo second hand shaurimoyo, mtaa wa songea ilala dar bei maelewano ila na wao wamekuwa wajanja wanapiga bei kwa kuwa wanajua spea adimu. Ila spea zote zinapatikana.

Gari hii hawakuconserve space ndani dashboard yake kubwa kulingana na gari yneyewe viti vyake vya mbele ni pana na nyuma wameraise compartment ya kuweka vifaa vya gari kama jeki spanner n.k ambayo yote zimechangia kuweka nafasi finyu ndani na mizigo kwa nyuma. Ingekuwa wameweka viti vyembamba na lakini comfortable za IST au Vitz na dashboard iliyozama ndani, compartment za vifaa vya gari nyuma ni vidogo vingeekwa pembeni badala ya chini na pale chini na hii ingesaidia nafasi ya mizigo mikubwa.
Tenki la mafuta ya gari hii ni dogo only 52 litres so kwa safari ndefu inasumbua kusimama simama kujaza mafuta.
Haina arm rest ya upande wa kati ukiwa safari ndefu inakubidi uweke mto katikati ili uwe comfortable.
Ni hayo tu.
 
LEGE, huu ushauri wako ni sahihi kabisa. GDI ni gari isiyotaka mafuta ya hovyo kabisa kama unataka iwe kwenye kiwango na isikusumbue. Hao waliosema walikuwa wanaweka mafuta ya vidumu, ni mambo ya kubahatisha, inawezekana walibahatisha masafi. GDI io zina fuel pump mbili, moja low pressure pump(LPP) na nyingine High pressure pump(HPP). Unapoendesha hii gari chini ya 50km/hr, LPP inatumika. Ukiongeza speed zaidi ya hapo, HPP inafungunguka ili kulipa gari nguvu zaidi.

Hii pump ya HPP ndani imetengenezwa kwa mtindo ambao kukiingia uchafu wa aina yoyote, inashindwa kusukuma mafuta kwa ile nguvu iliyohitajika, matokeo yake ni gari kukosa nguvu kabisa haswa unapotaka kuongeza mwendo zaidi ya 50km/hr.

Ukweli ni kama ulivyosema, hizi gari ni nzuri sana, very Comfortable na zina speed mno. Ila ili ulifurahie ni lazima masharti yazingatiwe. Spare zake watu wanasema ni ghali, ni kweli ila sio kivile, uzuri ni kwamba ukipata Og. unafunga na kusahau.

Hii gari ninayo mwaka wa tano sasa, mwanzoni nilikuwa ninatumia Suzuki sikuifurahia kama hii.
Mkuu low pressure pump iko sehemu gani kwenye engine au tank?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom