Ushauri ujenzi wa fensi ya nyumba

Ushauri ujenzi wa fensi ya nyumba

Marumeso

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2009
Posts
1,410
Reaction score
1,325
Wadau namalizia ujenzi wa kibanda changu na sasa nipo kwenye ujenz wa fensi ya tofali. Napata kigugumizi nijenge fensi ya namna gani kati ya ile yenye kuta ndefu kwenda juu kiasi mtu wa nje haoni chochote zaidi ya ukuta huo na ile yenye uwazi na mianya/nafasi za uwazi kiasi mtu wa nje anaona ndani bila tatizo.
 
Wadau namalizia ujenzi wa kibanda changu na sasa nipo kwenye ujenz wa fensi ya tofali. Napata kigugumizi nijenge fensi ya namna gani kati ya ile yenye kuta ndefu kwenda juu kiasi mtu wa nje haoni chochote zaidi ya ukuta huo na ile yenye uwazi na mianya/nafasi za uwazi kiasi mtu wa nje anaona ndani bila tatizo.

Fensi yenye luva za kupitisha hewa au nondo zenye marembo zinamvuto sana lakini kwa maisha ya sasa mijini unawarahisishia jamaa wa kaz kuweza kuchora ramani vizuri kabla hawajaja kwenye mradi kamili wa kuvamia na kuiba, kwa iyo fensi ndefu ni nzur kwa usalama.
 
Wadau namalizia ujenzi wa kibanda changu na sasa nipo kwenye ujenz wa fensi ya tofali. Napata kigugumizi nijenge fensi ya namna gani kati ya ile yenye kuta ndefu kwenda juu kiasi mtu wa nje haoni chochote zaidi ya ukuta huo na ile yenye uwazi na mianya/nafasi za uwazi kiasi mtu wa nje anaona ndani bila tatizo.

Unakuwa kama upo magereza ukiweka fensi ya tofali mpaka juu jipe nafasi ya kupata hewa weka ya tofali na nondo nzuri sana
 
Mtu kama mie huwa naogopa macho ya watu so ningekuwa mimi ningejenga ya full ukuta ili nisionekanike
 
Nafikiri inategemea na mazingira uliyopo. Kama sehem ina usalama mdogo kuacha uwazi ni sawa unawaalika wajomba kwa mikono miwili.
 
Mie napenda fensi ndefu kwakuwa eneo nililopo lina hewa ya kutosha. Mambo ya watu wanapita mtaani wanatoa mimacho hata privacy hamna siyataki kabisa....piga kozi tisa kaa kwa mwarabu vile unakomesha hata wapiga chabo na kuwapa vibaka mtihani.
 
Wakati najenga nilivutiwa sana na fensi zenye uwazi nikajenga hivyo kwa kweli zinavutia sana ila baadae nikagundua unakosa privacy ikanilazimu kuanza kuziba sehemu zote zenye uwazi maana hata ukiwa na family party inakuwa taabu full mimacho hivyo kwangu Mimi option no full matofali kozi tisa
 
Haya jizibe tu;
acha tundu dooogo
siku ya siku litakuokoa.
 
Wadau namalizia ujenzi wa kibanda changu na sasa nipo kwenye ujenz wa fensi ya tofali. Napata kigugumizi nijenge fensi ya namna gani kati ya ile yenye kuta ndefu kwenda juu kiasi mtu wa nje haoni chochote zaidi ya ukuta huo na ile yenye uwazi na mianya/nafasi za uwazi kiasi mtu wa nje anaona ndani bila tatizo.
Kama hutegemei kuwa na uhasama na mtu au hutegemei kuwa mwanasiasa jenga yenye urembo na upate hewa ya kutosha.Kama unategemea kuwa na mojawapo ya hayo ni niliyotaja jenga futi 14 kama Israel na Palestina walivyojenga mipakani mwao.
 
fensi ndefu pia ni hatari maana jamaa wakifanikiwa kuingia na mguu wa kuku , hata upige kelele vip majirani hawatakusikia. ni bora ujenge fensi ndefu pande zote for privacy lakini ukuta wa mbele ya nyumba iwe yenye uwazi
 
Kama unaeneo kubwa,jenga ukuta kozi 9 kisha panda miti ya miashoki,kwa ajiri ya hewa.kama eneo ni dogo kabda 20mX 20m fensi yenye uwazi haikwepeki
 
Full matofali pembeni na nyuma. Mbele iwe na uwazi na urembo. Kwa ndani panda maua.
 
Back
Top Bottom