Ushauri unahitaji kuhusu aina bora za mashine za matofali

Ushauri unahitaji kuhusu aina bora za mashine za matofali

Governor of Bettors-GB

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2013
Posts
10,568
Reaction score
9,710
Wakuu hembi nipeni ushauri juu ya hili.

Kuna sheem nimenunua ila ipo nje ya mji na umeme hakuna.
Nilikuwa nataka kuanzisha kiwanda cha kufyatulia tofali wakati huu mji haujaanza ili ukichanganya niwe mwenyeji.
Ushauri:-
a)Je Aina gani ya Machine inafaa katika maeneo hayo ambayo umeme hakuna
b)Je zipo za kutumia Diesel?yaani zenye ku ji generate zenyewe
c)Au za kutumia umeme kisha kununua Generator?na Generator aina ipi inafaa
d)Pia je Mixers zipo aina moja au zipo aina tofauti?na je zipo za Diesel au zote ni umeme?

Kama kuna mwenyekujua wapi naweza kwenda kupata bidhaa hizo,na bei zake kwa mwenye kujua sio mbaya pia.
Na pia kama kuna ushauri wowote juu ya post husika.

Stay blessed
 
Mm nimeona kuna jamaa ana tumia kinu cha mashine ya kusaga kuzalisha umeme anao utumia kwenye machine zake za tofari na tofari zina toka nzuri tu... Ila kwa ushauri zaidi ukienda kununua waeleze hali yako wata kula ushauri mzuri zaidi
 
Mm nimeona kuna jamaa ana tumia kinu cha mashine ya kusaga kuzalisha umeme anao utumia kwenye machine zake za tofari na tofari zina toka nzuri tu... Ila kwa ushauri zaidi ukienda kununua waeleze hali yako wata kula ushauri mzuri zaidi
Machine ya kusaga si mchezo
 
Mm nimeona kuna jamaa ana tumia kinu cha mashine ya kusaga kuzalisha umeme anao utumia kwenye machine zake za tofari na tofari zina toka nzuri tu... Ila kwa ushauri zaidi ukienda kununua waeleze hali yako wata kula ushauri mzuri zaidi
Kumbe naweza kununua machine ya kusaga na kujizalishia umeme mwenyewe[emoji15] [emoji15] , ngoja nianze research ya hiki kitu
 
Back
Top Bottom