š¤£maskini mweeš¤Kilio chake atalala hadi matanga[emoji23][emoji23]muache aolewe na aache kazi
Hakuna kijana wa 45Hope wazima.
Binti kapata kijana wa 45 muajiriwa ana mke mjamzito na watoto 3 anamjali kwa material yeye, wazazi na ndugu zake shida zao wanatatuliwa.
Yeye ni ps kwa private sector mshahara wake hauzidi laki 2 na yupo tayari kuacha kazi. Anampa muda kuliko mke na watoto na kamuahidi kumjengea. Wamekutana mwezi mmoja ulopita anataka kutoa mahari na amuoe.
Yupo tayari anasema amependa ndugu hawamuelewi ila wazazi wapo tayari. Anasaidika vipi binti huyu?
š¤£Kwann sasa una nywele Moja,eti dada?Uyo bwana atabadirikaa mda wowote asiache KAZI ata kama mshahara laki asiache...kwasababu awezi Jua moyo wa mke mwenza
Njaaa mbaya sana jamani.Hope wazima.
Binti kapata kijana wa 45 muajiriwa ana mke mjamzito na watoto 3 anamjali kwa material yeye, wazazi na ndugu zake shida zao wanatatuliwa.
Yeye ni ps kwa private sector mshahara wake hauzidi laki 2 na yupo tayari kuacha kazi. Anampa muda kuliko mke na watoto na kamuahidi kumjengea. Wamekutana mwezi mmoja ulopita anataka kutoa mahari na amuoe.
Yupo tayari anasema amependa ndugu hawamuelewi ila wazazi wapo tayari. Anasaidika vipi binti huyu?
Huyo huwezi kumshauri mkuu. Wacha ale kwa urefu wa kamba.Hope wazima.
Binti kapata kijana wa 45 muajiriwa ana mke mjamzito na watoto 3 anamjali kwa material yeye, wazazi na ndugu zake shida zao wanatatuliwa.
Yeye ni ps kwa private sector mshahara wake hauzidi laki 2 na yupo tayari kuacha kazi. Anampa muda kuliko mke na watoto na kamuahidi kumjengea. Wamekutana mwezi mmoja ulopita anataka kutoa mahari na amuoe.
Yupo tayari anasema amependa ndugu hawamuelewi ila wazazi wapo tayari. Anasaidika vipi binti huyu?
Pesa inaongea mkuu.Mwezi mmoja kukutana ni mfupi sana kumjua huyo mwanaume kiasi cha binti kufanya maamuzi magumu ya kuacha kazi na kufunga ndoa kama mke wa pili
Hope wazima.
Binti kapata kijana wa 45 muajiriwa ana mke mjamzito na watoto 3 anamjali kwa material yeye, wazazi na ndugu zake shida zao wanatatuliwa.
Yeye ni ps kwa private sector mshahara wake hauzidi laki 2 na yupo tayari kuacha kazi. Anampa muda kuliko mke na watoto na kamuahidi kumjengea. Wamekutana mwezi mmoja ulopita anataka kutoa mahari na amuoe.
Yupo tayari anasema amependa ndugu hawamuelewi ila wazazi wapo tayari. Anasaidika vipi binti huyu?
Asirogwe akatema big G kwa karanga za kuonjeshwaHope wazima.
Binti kapata kijana wa 45 muajiriwa ana mke mjamzito na watoto 3 anamjali kwa material yeye, wazazi na ndugu zake shida zao wanatatuliwa.
Yeye ni ps kwa private sector mshahara wake hauzidi laki 2 na yupo tayari kuacha kazi. Anampa muda kuliko mke na watoto na kamuahidi kumjengea. Wamekutana mwezi mmoja ulopita anataka kutoa mahari na amuoe.
Yupo tayari anasema amependa ndugu hawamuelewi ila wazazi wapo tayari. Anasaidika vipi binti huyu?
Ni kijana uzee unaanzia 6045 ni kijana?