Ushauri Unahitajika: NACTE March 2021 Intake. Je UCC (University Computer Center Dares salaam) inatosha?

Ushauri Unahitajika: NACTE March 2021 Intake. Je UCC (University Computer Center Dares salaam) inatosha?

Masiya

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
7,602
Reaction score
7,332
Wakuu naomba ushauri: KIjana anafikiria kuanza masomo ya Diploma IT jijini Dar mwezi march/april 2021 lakini vyuo vyenye March intake ni vichache. Najua UCC wana dahili intake hiyo. Swali je ajitupe UCC au afikirie kusubiri September intake ambayo ina vyuo vingi? Kwa lugha nyingine je UCC ya sasa inatosha? Natanguliza shukrani.
 
Wakuu naomba ushauri: KIjana anafikiria kuanza masomo ya Diploma IT jijini Dar mwezi march/april 2021 lakini vyuo vyenye March intake ni vichache. Najua UCC wana dahili intake hiyo. Swali je ajitupe UCC au afikirie kusubiri September intake ambayo ina vyuo vingi? Kwa lugha nyingine je UCC ya sasa inatosha? Natanguliza shukrani.
Kwani akiomba intake ya march,intake ya september hataruhusiwa,ila september kuna vyuo vingi sana,hakuna haja ya kurush ili mwezi wa 9 awe na wide range ya selection
 
Kwani akiomba intake ya march,intake ya september hataruhusiwa,ila september kuna vyuo vingi sana,hakuna haja ya kurush ili mwezi wa 9 awe na wide range ya selection
Anaweza akaomba mwezi wa March na September. Swali langu ni je UCC yenye intake ya March ni chuo kizuri? Kama ni kizuri basi tusisubiri mwezi wa 9 (gharama za kusubiri)

Asubiri wa 9

Haraka haraka haisaidii.
Mwezi wa 9 ni mbali ja UCC haikidhi?
 
Naona nimegota. Ahsanteni
 
Back
Top Bottom