Optimists
JF-Expert Member
- Oct 17, 2021
- 379
- 1,082
Wakuu habari!
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Humu kuna watu wana experience walishafanya au bado wanafanya itasaidia kwa namna moja au nyingine. Niko na idea mbili tatu sijajua nifanye hipi naomba mnipe msaada wa mawazo kutokana na experience yenu.
Niko na mtaji kidogo wazo langu la kwanza nichukue balo la mtumba nifungulishe lakini nikashauriwa kwamba sina uzoefu nitapoteza ndio likaja wazo la "kupoint nguo" na idea ya kufanya nguo za kike na watoto niuze kuzunguka kwenye minada around Dar.
Wazo jingine ni kwamba nichukue vitu kwa bei rahisi kutoka kariakoo either nguo za special au vile viatu vya kike au phone accessories then nizunguke minadani nje ya Dar.
Kipi ni bora kati ya hivyo? Je, minada gani nje ya Dar itanisaidia kwenye mzunguko na kuikuza hela?
Napokea ushauri DM
Shukrani
Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Humu kuna watu wana experience walishafanya au bado wanafanya itasaidia kwa namna moja au nyingine. Niko na idea mbili tatu sijajua nifanye hipi naomba mnipe msaada wa mawazo kutokana na experience yenu.
Niko na mtaji kidogo wazo langu la kwanza nichukue balo la mtumba nifungulishe lakini nikashauriwa kwamba sina uzoefu nitapoteza ndio likaja wazo la "kupoint nguo" na idea ya kufanya nguo za kike na watoto niuze kuzunguka kwenye minada around Dar.
Wazo jingine ni kwamba nichukue vitu kwa bei rahisi kutoka kariakoo either nguo za special au vile viatu vya kike au phone accessories then nizunguke minadani nje ya Dar.
Kipi ni bora kati ya hivyo? Je, minada gani nje ya Dar itanisaidia kwenye mzunguko na kuikuza hela?
Napokea ushauri DM
Shukrani