Ushauri unahitajika:

Ushauri unahitajika:

ladygreen

Member
Joined
May 12, 2018
Posts
56
Reaction score
64
Hello guyz mi nimeajiriwa serikalini lakini nataka kuacha kazi ili nikasome nije tena kufanya kazi sekta nyingine tofauti na iyo

Sasa utata unakuja katika kuacha kuna uwezekano wa kuandika barua ya kuacha
Na ikakubaliwa ?? Na huwa inachukua muda gani mtu kuacha kazi na kufutwa

Na endapo nikaacha bila taarifa itaniathiri vipi katika ajira mpya?

Maoni yako ni muhimu tafazali
 
Back
Top Bottom