MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 423
- 430
Habari za wakati huu....
Poleni na changamoto za maisha na majukumu ya kila siku....
Niende kwenye mada jamani nina plan ya kutaka kufungua Academy soccer ila wachezaji ntakuwa nabeba kila angle ya Africa hii
Je kuhusu plan hizi na jinsi dunia inayoenda siku hizi ni risk au laa
Mana nataka kufanya ndio biashara yangu mana kwa sasa nasomea course ya ukocha wa mpira. ..
Karibuni kwa maoni ushauri jinsi gani kufanya Morden zaidi hii business
Poleni na changamoto za maisha na majukumu ya kila siku....
Niende kwenye mada jamani nina plan ya kutaka kufungua Academy soccer ila wachezaji ntakuwa nabeba kila angle ya Africa hii
Je kuhusu plan hizi na jinsi dunia inayoenda siku hizi ni risk au laa
Mana nataka kufanya ndio biashara yangu mana kwa sasa nasomea course ya ukocha wa mpira. ..
Karibuni kwa maoni ushauri jinsi gani kufanya Morden zaidi hii business