MBWAMBO NICHOLAUS JR
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 423
- 430
Kwa hilo nina kiwanja kizuri ila hakina uzio kipo plain tuuNi nzuri ila kama umedhamiria.. hakikisha unakuwa na miundombinu vizuri ya academy, na kikubwa ni uwanja angalau wa mazoezi...
Ni vizuri sana, ila ningekushauri kwakuwa una nia ya dhati juu ya hilo fanya utaratibu uwapate na wale vijana waliounda U17,Kwa hilo nina kiwanja kizuri ila hakina uzio kipo plain tuu
Wale kwa sasa itakua gharama sana mkuuNi vizuri sana, ila ningekushauri kwakuwa una nia ya dhati juu ya hilo fanya utaratibu uwapate na wale vijana waliounda U17,
Wale kwa sasa itakua gharama sana mkuu
Sawasawa chiefAngalau wachache, si lazima wakawa wote... Na kama kweli una nia ya dhati huna budi kujiandaa vilivyo... Kukabiliana na kila aina ya changamoto... Na ingekuwa vizuri basi kwakuwa ni academy iwe imejitosheleza kwa kila kitu...
Kiluvya fc inauzwa nenda kainunue kama inawezekanaHabari za wakati huu....
Poleni na changamoto za maisha na majukumu ya kila siku....
Niende kwenye mada jamani nina plan ya kutaka kufungua Academy soccer ila wachezaji ntakuwa nabeba kila angle ya Africa hii
Je kuhusu plan hizi na jinsi dunia inayoenda siku hizi ni risk au laa
Mana nataka kufanya ndio biashara yangu mana kwa sasa nasomea course ya ukocha wa mpira. ..
Karibuni kwa maoni ushauri jinsi gani kufanya Morden zaidi hii business
Mara nyingi club hizi huwa wanauza kuanzia million 50 kwenda juu sasa mimi ninacho kidogo mkuuKiluvya fc inauzwa nenda kainunue kama inawezekana
Moja ya ushauri mzuri sana mkuuAnza na vijana wachache Kama 20 au 23 hivi.... uwanja wako jitahidi uwe na fence mkuu pia jitahidi upate TV room hii itakuwa special kwaajili ya vijana kureflesh mind pia kuangalia video mbalimbali zinazohusu soka na Maisha ya mwanasoka....pia usiwe peke ako tafuta mwenzio bar pia mtasaidiana kuimplement discipline kwa wachezaji.... So ni nidhamu pia creativity vijana waive usiogope kufuatilia vitabu vya makocha bora duniani kama Sir Alex Ferguson,Guardiola,wenger na we gone wengi ili ujue Tabia za wachezaji na jinsi ya kudeal nao........
All the best mkuu nakumbuka nilikuwa hatari mno nilicheza mamba zote enzi hizo but kukosa director bora kulifanya nislow down mno
Pamoja mkuuNa unatakiwa viwanja hata viwili mpaka vitatu
Sawasawa kamandaUkimaliza kuandaa kila kitu usisahau kumtanguliza Mungu mbele...