Fundifundisho
Member
- Jan 11, 2011
- 77
- 18
Kuna mfanyakazi mwenzangu anataka kumwoa binti ambaye wamedumu ktk uhusiano mwaka mmoja na nusu,
tatizo ni background ya binti huyo,.kwani kipindi jamaa anaanza uhusiano naye iligundulika kuwa binti alikuwa na uhusiano na baba yake mdogo!
Na binti alishatoa mimba mara mbili za huyohuyo baba mdogo ambaye wanaishi naye nyumbani,.jamaa alipombana binti kuhusu uvumi huo alikiri na kudai kila kitu ni kweli na kwamba alianza uhusiano na babake mdogo tangu wakiwa kidato cha pili ila kwa sasa wameachana,babake mdogo alimaliza masomo na mpaka sasa anaishi hapo hapo nyumban.,kwa kuwa jamaa anampenda msichana alivumilia mpaka msichana kamaliza shule na sasa binti anaonekana mtulivu na mwenye mapenzi ya dhati tofauti na awali alionekana kicheche!
Binti kwao mambo safi hivyo pamoja na kipato cha
Jamaa kuwa kidogo kidogo binti amekuwa akimjali na kumthamin,.baada ya binti kukiri yaliyotokea zamani na kuamua kuomba msamaha ameamua kubadiri tabia na kuwa mtulivu,.sasa jamaa anataka kumwoa anaomba ushauri wenu!
tatizo ni background ya binti huyo,.kwani kipindi jamaa anaanza uhusiano naye iligundulika kuwa binti alikuwa na uhusiano na baba yake mdogo!
Na binti alishatoa mimba mara mbili za huyohuyo baba mdogo ambaye wanaishi naye nyumbani,.jamaa alipombana binti kuhusu uvumi huo alikiri na kudai kila kitu ni kweli na kwamba alianza uhusiano na babake mdogo tangu wakiwa kidato cha pili ila kwa sasa wameachana,babake mdogo alimaliza masomo na mpaka sasa anaishi hapo hapo nyumban.,kwa kuwa jamaa anampenda msichana alivumilia mpaka msichana kamaliza shule na sasa binti anaonekana mtulivu na mwenye mapenzi ya dhati tofauti na awali alionekana kicheche!
Binti kwao mambo safi hivyo pamoja na kipato cha
Jamaa kuwa kidogo kidogo binti amekuwa akimjali na kumthamin,.baada ya binti kukiri yaliyotokea zamani na kuamua kuomba msamaha ameamua kubadiri tabia na kuwa mtulivu,.sasa jamaa anataka kumwoa anaomba ushauri wenu!