Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifanya asubuhi yangu iwe mubashara hahaaaaaa jr kutamInua mkia wake halaf fanya km unampachika dole atakimbia na hakufuati tena....paka wanaogopa sn popobawa
Kama nchi za Ulaya huyo sawa na mtoto wao. Ikiwa Africa mpe nae atafuneHabari wanajamvi
Jamani naombeni ushauri ,nilipokuwa ugenini kila muda wa kula ukifika anaotokea paka wa mwenyeji wangu ananisumbua sana kwenye chakula.je naombeni ushauri huyu paka nimmegee chakula au nimfukuze pale kwenye meza?