Ushauri unatakiwa - kama ni wewe utafanyaje?

Mtafiti1

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2011
Posts
263
Reaction score
148
Una mpenzi wako mmependana kwa kipindi cha muda wa kutosha ( miezi 9).Mnapendana sana ( amekuhakikishia anakupenda sana). Mnaongea kwa simu, sms, na kila aina ya mawasiliano kila siku.Inafika siku ya siku mnakutana. Unapata mshangao pale ambapo mtanange unashindikana kabisa.Kila anapojaribu - mambo yanakataa. Humuelewi.Unamuuliza kwanini iko hivyo? Anakujibu hata yeye hajui kwanini.Unapatwa na mfadhaiko moyoni.Unajiuliza kuna nini, hupati jibu.
Je wewe mwanamke ungefanyaje? Wewe kaka imewahi kukutokea hivi na kama ndio ulifanyaje.


( KISA CHA KWELI HIKI!)
 
Nahisi kama haieleweki hivi..its too general, ungeiweka vizuri
 
Nahisi kama haieleweki hivi..its too general, ungeiweka vizuri

nasema ivi:
1. kwanini mwanaume ashindwe shughuli pale anapokutana na mpenzi wake kwa mara ya kwanza?
2. Kama mdada imekutokea hii, utafanyaje? Je utamwacha huyo mtu au utaendelea naye?
 




lucky_c_pesa:
If its the first time, I will just choke it up to nerves and/or woga na nisubiri wakati mwingine. What's one day, or even a
week for that matter, if its as you've said that mmesubiriana for 9 months???
 
ni mfadhaiko ila hasa unatokana na uchu hasa waname wengi huwakuta kutokana na aidha kupania au uchu na hata kutojiamini kwa wakati ule hiyokitu hata mie isha wahi kunikuta lakini mwanamke alikuwa na hekima kwani aliligundua hilo hivyo alianza kunituliza na kuniondoa wasiwasikwa kubadili story kwa muda ili nirudi kwenye mud then baada ya kama saa moja hivi akaanza uchokozi baada ya hapo laaah asikwambie mtu mambo yalikuwa veeeeema sana hadi alinipongeza lakini mwisho aliniambia nanukuu. (baby najua hali hiyo imekukuta kwa vile its da 1st time na inaonesha ulikuwa umepania sana siku hii ya leo bt plz take it ize najua sasa haitokutokea tena pole mpenzi wangu)mwisho wa kunukuu basi toka hapo haijawahi nikuta hata cku na hadi leo full mishangwe.so try to do dat.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…