Ushauri unatakiwa

Ushauri unatakiwa

Zero One Two

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2007
Posts
9,346
Reaction score
3,028
Kwa wale wenye taaluma ya sheria. Ikatokea umetajwa katika kesi, ambayo au husiki. Mfano, Mie: Abadala naojiwa, nika mtaja Ismail Kuwa ndio alitoa ruhusa ya mie kuiba, huku Ismail haja husika, na vidhibiti alikamatwa navyo Abdala katika tukio. Naombeni ushauri wenu.
 
evidence si ndo itakayo...chukua mkondo wake...kwa kuonesha wewe unahusika vipi hapo ...vinginevyo hamna shida hapo..jombaaa
 
Back
Top Bottom