Ushauri ushauri unaitajika

Ushauri ushauri unaitajika

Galacha Maestro

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
1,353
Reaction score
2,229
Mitsubishi rosa 4m51 namba zake ni drp.

1. Gari hizi huwa na changamoto gani hasa kwenye injini?
2. Je ni gari nzuri kwa biashara. Mfano kutoka manyoni hadi dom mjini. Km 240 go and return
3. Mafundi wengi wanasema injini yake huwa ni shida sio gari nzuri kwa mtu anaye anza biashara ya mabasi.
 
Back
Top Bottom