Abby Newton
JF-Expert Member
- Nov 12, 2017
- 1,252
- 2,253
Natazama mechi ya ligi kuu kati ya Gwambina vs Jk Tanzania. Kwakweli huu uwanja wa Gwambina Complex Pitch imechoka na ni dhahiri uwanja umekosa hadhi ya kutumiwa kwa michezo ya ligi kuu kwa sasa. Pitch ina vinundu vya manyasi na vipara vingi, hali inayosababisha mpira wa chini kushindwa kuchezeka. Ni mwendo wa butua butua tu.
Kwa hadhi ya ligi yetu viwanja kama hivi vinatutia aibu. Nashauri kamati ya ligi ichukue hatua iufungie mara moja hadi hapo watakapofanya marekebisho.
Over!
Kwa hadhi ya ligi yetu viwanja kama hivi vinatutia aibu. Nashauri kamati ya ligi ichukue hatua iufungie mara moja hadi hapo watakapofanya marekebisho.
Over!