Ndg wazima jamani!
Mi ndo nimeanza ufugaji wa kuku wa kienyeji na nina muda wa mwezi sasa.
Tatizo vifaranga wangu wana ugonjwa wa mafua naweza kuwapa dawa gani?????
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeinunua tayar.Naomba unisaidie jinsi ya kuitumia kwa viranga na wakubwa.Maeneo nayoishi hakuna wataalamu wa tuba hizi.Nimeiweka hapa chini si ndio yenyewe????Aisei kimbia sana kwenye duka pembejeo kuna dawa nyingi, mafua ni mabaya sana vifaranga watakufa kwa mkupuo ukichelewa.
Hakikisha banda ni safi hawa halina mvumbi au km umeweka madaranda yenye mvumbi yatoe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha kwanza angalia seriousness ya mafua yenyewe, kama tayari wameregea sana, inatakiwa uzidi kidogo kwenye kipimo ulichoelekezwa ila km bado wamechangamka fuata maelekezo ya dawa, ila sasa hakikisha wamekunywa hasa ambao hawawezi kunywa wanyweshe kwa kijiko km unaona tayari kalegea hawezi kunywa mwenyewe.Nimeinunua tayar.Naomba unisaidie jinsi ya kuitumia kwa viranga na wakubwa.Maeneo nayoishi hakuna wataalamu wa tuba hizi.Nimeiweka hapa chini si ndio yenyewe????View attachment 1303091
Sent using Jamii Forums mobile app
Maelekezo yanasema 5 g per 5 litres.Najiuliza 5g napimaje?? Wenyewe hawajakegea sana.Cha kwanza angalia seriousness ya mafua yenyewe, kama tayari wameregea sana, inatakiwa uzidi kidogo kwenye kipimo ulichoelekezwa ila km bado wamechangamka fuata maelekezo ya dawa, ila sasa hakikisha wamekunywa hasa ambao hawawezi kunywa wanyweshe kwa kijiko km unaona tayari kalegea hawezi kunywa mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ila cha ajabu baada ya dawa kifaranga kimoja kilikufa majuzi la leo nimekagua nimegundua kifaranga kimoja kinazubaa na kusinzia kinahema kwa shida sana.Tyrodox ni dawa nzuri sn nmeitumia mara kadhaa. Kumbuka kuwatenga kuku ambao ni wagonjwa ndipo uendelee kuwapa dawa kwa mda wa siku 3 hadi 5 mfululizo. Kwa wale wasioweza kunywa wanyweshe mwenyewe kwa kijiko kidogo. Pia ambao ni wazima wape nao wanywe. Wakati unawapa dawa hakikisha umeondoa maji yote ili wanywe dawa tu!
Sent using Jamii Forums mobile app
watakua hawakunywa dawaAsante sana ila cha ajabu baada ya dawa kifaranga kimoja kilikufa majuzi la leo nimekagua nimegundua kifaranga kimoja kinazubaa na kusinzia kinahema kwa shida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiunge na hawa jamaa group lao watakusaidia sanaAisei kimbia sana kwenye duka pembejeo kuna dawa nyingi, mafua ni mabaya sana vifaranga watakufa kwa mkupuo ukichelewa.
Hakikisha banda ni safi hawa halina mvumbi au km umeweka madaranda yenye mvumbi yatoe.
Sent using Jamii Forums mobile app