Ushauri: Vigae vinavyofaa kwenye sakafu ya ofisi

Ushauri: Vigae vinavyofaa kwenye sakafu ya ofisi

DENAMWE

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2019
Posts
862
Reaction score
871
Tunajenga ofisi ya kikundi chetu na tunahitaji kuweka vigae kwenye sakafu.

Hapa kwetu udongo ni mwekundu ambao ukipata maji unakuwa tope na unateleza sana. Naomba ushauri wa vigae vya sakafu vinavyofaa kwa kuzingatia:
  • Kampuni na nchi vilikotengenezwa.
  • Rangi inayofaa.
  • Kipimo bora, fano 40x40, 50x50 nk.
  • Sura yake, mtelezo, mng'ao nk.
  • Na mengine kwa kuzingatia utaalamu.
 
Boss habari me nauza vigae napatikana chalinze..

Kwa ushauri weka 40*40 ambayo ni rough pia inacover eneo kubw kwa box tofauti na 50*50 lkn kama uchumi uko vizuri weka 50*50 rough pia

Kwa mawasiliano nichek 0623152344 (kwa ushauri zaidi)
 
Asante sana.
Nitatafuta muda ufaao ili tuongee.
Nakushukuru sana.
 
Boss habari me nauza vigae napatikana chalinze..

Kwa ushauri weka 40*40 ambayo ni rough pia inacover eneo kubw kwa box tofauti na 50*50 lkn kama uchumi uko vizuri weka 50*50 rough pia

Kwa mawasiliano nichek 0623152344 (kwa ushauri zaidi)
Mkuu 40×40 unauza bei gan?? Na ni za kampuni gan??
 
Mkuu kama ni eneo la wazi, nje ambapo hapana umuhimu wa tiles, nione WhatsApp nikuonyeshe Plastic mold concrete pavement ya gharama nafuu na itakufaa au fuatilia mitandaoni @muriipavingblocks uone
 
Tunajenga ofisi ya kikundi chetu na tunahitaji kuweka vigae kwenye sakafu.

Hapa kwetu udongo ni mwekundu ambao ukipata maji unakuwa tope na unateleza sana. Naomba ushauri wa vigae vya sakafu vinavyofaa kwa kuzingatia:
  • Kampuni na nchi vilikotengenezwa.
  • Rangi inayofaa.
  • Kipimo bora, fano 40x40, 50x50 nk.
  • Sura yake, mtelezo, mng'ao nk.
  • Na mengine kwa kuzingatia utaalamu.

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA
HUJANUNUA VIGAE (TILES)

1. Matumizi ya eneo husika - Sehemu zenye majimaji hazihitaji vigae vinavyoteleza (ungrazed) mfano chooni, bafuni, na jikoni ukilinganisha na sehemu ambazo hakuna matumizi makubwa ya maji mfano sebuleni, sehemu ya kulia chakula na vyumba vya kulala.

2. Upatikanaji - kwa kawaida inaweza kuwa aina ya kigae unachotaka ukawa uliangalia kwenye mtandao na ukakipenda lakini kumbe bado katika mazingira yako haijafika basi ni vyemba kutafuta aina nyingine illyopo karibu na wewe au kufanya mchakato wa kuiagiza.

3. Uwezo wake na muda wa kuaribika - vigae vinatofautiana uwezo na muda wa kuaribika kutokana na malighafi/material iliyotengeneza hivyo ni vizuri kuchagua vile vinavyokaa muda mrefu ili usipate shida ya kurekebisha/maintenance mara kwa mara.

4. Gharama (mfuko wako) - ukiachana na sababu zilizoelezewa hapo juu, pia ni lazima uangalie na bei ya vigae hivyo ili uweze kufanya upembuzi yakinifu kulingana na kiwango cha fedha ulichonacho, usijiumize sana kwa sababu ya weza kuwa vipo vingine vyenye bei angalau na vinafanana na hicho unachotaka.
KARIBU UPATE ELIMU BURE KUHUSU UJENZI WA TILES

[emoji3513] +255 714 122 011
[emoji536] Tupo Goba Dar es salaam
[emoji593] Popote tunakufikia [emoji1139][emoji1254][emoji1268][emoji1060][emoji1156]
#NyumbaYakoFahariYako
#IfanyelweYaTofauti
#TupeTuipandisheThamani #jenganasi
 
Tunajenga ofisi ya kikundi chetu na tunahitaji kuweka vigae kwenye sakafu.

Hapa kwetu udongo ni mwekundu ambao ukipata maji unakuwa tope na unateleza sana. Naomba ushauri wa vigae vya sakafu vinavyofaa kwa kuzingatia:
  • Kampuni na nchi vilikotengenezwa.
  • Rangi inayofaa.
  • Kipimo bora, fano 40x40, 50x50 nk.
  • Sura yake, mtelezo, mng'ao nk.
  • Na mengine kwa kuzingatia utaalamu.
Nauza VIGAE SIZE zote, nakuja site kupima ili kujua idadi ya box nakuunganiaha na fundi hodari kwa design kalii,, [emoji740]0748132267 nipo UBUNGO KIBO Dar es Salaam!!
 
Back
Top Bottom