Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Habari Wana wa JF.
Kutokana na ushauri mujarabu wa Rais Magufuli ambao pia umepokelewa kwa shangwe hata na wataalamu wa Afya, nashauri vituo vya Redio na Television vianzishe vipindi maalumu vikituelekeza jinsi ya kujifukiza dhidi ya Covid 19.
Hatua hii ni muhimu sana katika kipinndi hiki cha kupambana na dubwasha hili hatari. Kama kituo cha habari hakitakuwa na kipindi hiki, kishurutishwe kufanya hivyo.
Vipindi hivi viwe Mara mbili kwa siku yaani asubuhi sana na pia marudio yafanyike usiku. Hii itasaidia watu wanaokuwa bize na kazi mchana kutopitwa na elimu au maarifa haya muhimu.
Wasalaam.
Kutokana na ushauri mujarabu wa Rais Magufuli ambao pia umepokelewa kwa shangwe hata na wataalamu wa Afya, nashauri vituo vya Redio na Television vianzishe vipindi maalumu vikituelekeza jinsi ya kujifukiza dhidi ya Covid 19.
Hatua hii ni muhimu sana katika kipinndi hiki cha kupambana na dubwasha hili hatari. Kama kituo cha habari hakitakuwa na kipindi hiki, kishurutishwe kufanya hivyo.
Vipindi hivi viwe Mara mbili kwa siku yaani asubuhi sana na pia marudio yafanyike usiku. Hii itasaidia watu wanaokuwa bize na kazi mchana kutopitwa na elimu au maarifa haya muhimu.
Wasalaam.