Ushauri wa biashara na fursa kwa mtaji wa laki 3

Benediction TZ

New Member
Joined
Jul 14, 2022
Posts
3
Reaction score
3
Habari wana JF nlikuwa naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu wa biashara yoyote yenye faida

Location: Iringa
Mtaji 300k
 
Msimu huu wa baridi tuuzie masweta yale ya kofia, makoti n.k ya watoto kwa wakubwa.

Utanishukuru baadaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…