Ushauri wa Biashara ya kuwekeza, kwa Tsh 2 million (Mwanza)

Ushauri wa Biashara ya kuwekeza, kwa Tsh 2 million (Mwanza)

Jiggy El Jefe

Senior Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
143
Reaction score
170
Wakuu, nnaomba ushauri na mawazo juu ya biashara nzuri ambayo naweza kifanya Jijini mwanza, nikiwa na kiasi cha Tsh 2 million. Nahitaji kwenda kuishi na kufanya Biashara mkoa huo, Ushauri, Maoni au Mawazo utakua msaada kwangu.
Ahsante.
 
Wakuu, nnaomba ushauri na mawazo juu ya biashara nzuri ambayo naweza kifanya Jijini mwanza, nikiwa na kiasi cha Tsh 2 million. Nahitaji kwenda kuishi na kufanya Biashara mkoa huo, Ushauri, Maoni au Mawazo utakua msaada kwangu.
Ahsante.
Ngoja namimi nasubiri ushauri
 
Mkuu 2M pesa ndogo sana ukikurupuka nayo sababu hutofikia lengo na pesa itakuwa ishaisha.

Kama huna kazi nyingine na unategemea iyo pesa ndo ikutoe kimaisha na uendelee kuishi unaweza anzia hapa.

Nenda makoroboi kachukue eneo dogo tu kwa mtu then kanunue nguo za mitumba za wadada haswa blauz na sketi anza kuuza

Then chukua pesa iliyobaki tafuta eneo ya kawaida tu ila iwe uswahili kidogo weka banda la chips tafuta kijana mfanye biashara.

Hapo utakuwa na biashara mbili tofauti na utakuwa umebakiza pesa kiasi chake panga chumba cha elf15 au 20 weka godoro chini nunua vyombo vya kupikia na jiko anza maisha.

Kama pesa itabaki weka akiba M-pesa au tigo pesa itakusaidia badae kwa issue ndogo ndogo.

Epuka starehe zisizo na maana, Makundi ya ovyo na Wamama wa kisukuma hutojuta
 
Mkuu 2M pesa ndogo sana ukikurupuka nayo sababu hutofikia lengo na pesa itakuwa ishaisha.

Kama huna kazi nyingine na unategemea iyo pesa ndo ikutoe kimaisha na uendelee kuishi unaweza anzia hapa.

Nenda makoroboi kachukue eneo dogo tu kwa mtu then kanunue nguo za mitumba za wadada haswa blauz na sketi anza kuuza

Then chukua pesa iliyobaki tafuta eneo ya kawaida tu ila iwe uswahili kidogo weka banda la chips tafuta kijana mfanye biashara.

Hapo utakuwa na biashara mbili tofauti na utakuwa umebakiza pesa kiasi chake panga chumba cha elf15 au 20 weka godoro chini nunua vyombo vya kupikia na jiko anza maisha.

Kama pesa itabaki weka akiba M-pesa au tigo pesa itakusaidia badae kwa issue ndogo ndogo.

Epuka starehe zisizo na maana, Makundi ya ovyo na Wamama wa kisukuma hutojuta
Shukran mkuu[emoji120] ntaufanyia kazi ushauri wako
 
Waliotoa mawazo ni mazuri, lakni changanya na mawazo yako mkuu ,Mimi nikuulize je umesomea nn ili nikusaidie mkuu?
 
N
Mkuu 2M pesa ndogo sana ukikurupuka nayo sababu hutofikia lengo na pesa itakuwa ishaisha.

Kama huna kazi nyingine na unategemea iyo pesa ndo ikutoe kimaisha na uendelee kuishi unaweza anzia hapa.

Nenda makoroboi kachukue eneo dogo tu kwa mtu then kanunue nguo za mitumba za wadada haswa blauz na sketi anza kuuza

Then chukua pesa iliyobaki tafuta eneo ya kawaida tu ila iwe uswahili kidogo weka banda la chips tafuta kijana mfanye biashara.

Hapo utakuwa na biashara mbili tofauti na utakuwa umebakiza pesa kiasi chake panga chumba cha elf15 au 20 weka godoro chini nunua vyombo vya kupikia na jiko anza maisha.

Kama pesa itabaki weka akiba M-pesa au tigo pesa itakusaidia badae kwa issue ndogo ndogo.

Epuka starehe zisizo na maana, Makundi ya ovyo na Wamama wa kisukuma hutojuta
Nadhani huu ni ushauri mzuri sana kuutekeleza
 
Mkuu unajua gharama ya kupata eneo pale makoroboi? Sio rahisi kama unavofikiria
Mkuu ni 150k au kama umezid sana 200k p/m . Kuna kijana alikuwa anafanya kazi kwangu nilipohama mwnz ilibidi nimwachie mazingira kidogo ndo nikaamua kumfanyia huo mpango only kwa 500k. Hadi sasa yupo vzur sn na kaoa juu, Huwez amini kuna siku ATM imegoma nikasema nimcheki aniazime laki2 yaani sikutegemea kabsa kunambia subr kama dak1
 
Mkuu ni 150k au kama umezid sana 200k p/m . Kuna kijana alikuwa anafanya kazi kwangu nilipohama mwnz ilibidi nimwachie mazingira kidogo ndo nikaamua kumfanyia huo mpango only kwa 500k. Hadi sasa yupo vzur sn na kaoa juu, Huwez amini kuna siku ATM imegoma nikasema nimcheki aniazime laki2 yaani sikutegemea kabsa kunambia subr kama dak1
Hahahahah,umeua njiwa wa wili kwa jiwe moja,kwanza nime pata somo,pia nimecheka kishenzi.
 

Aina 50 ya ONLINE BUSINESSES Platforms Unazoweza Anzisha TZ na Uka-Dominate Soko
 
Ushauri safi kabisa
Mkuu 2M pesa ndogo sana ukikurupuka nayo sababu hutofikia lengo na pesa itakuwa ishaisha.

Kama huna kazi nyingine na unategemea iyo pesa ndo ikutoe kimaisha na uendelee kuishi unaweza anzia hapa.

Nenda makoroboi kachukue eneo dogo tu kwa mtu then kanunue nguo za mitumba za wadada haswa blauz na sketi anza kuuza

Then chukua pesa iliyobaki tafuta eneo ya kawaida tu ila iwe uswahili kidogo weka banda la chips tafuta kijana mfanye biashara.

Hapo utakuwa na biashara mbili tofauti na utakuwa umebakiza pesa kiasi chake panga chumba cha elf15 au 20 weka godoro chini nunua vyombo vya kupikia na jiko anza maisha.

Kama pesa itabaki weka akiba M-pesa au tigo pesa itakusaidia badae kwa issue ndogo ndogo.

Epuka starehe zisizo na maana, Makundi ya ovyo na Wamama wa kisukuma hutojuta
 
Back
Top Bottom