Ushauri wa biashara ya nyama na samaki tafadhali

Ushauri wa biashara ya nyama na samaki tafadhali

wakyagara wakinyora

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
735
Reaction score
285
ushauri wako unahitajika sana hasa kwa wenye uzoefu.nategemea ndani ya muda chini ya mwezi mmoja nifungue biashara ya bucha ya nyama na pia samaki wa maji baridi(sato na sangara wabichi).kama pia wa maji chumvi nao wana soko zuri basi pia nitawauza.mwenye uzoefu na hii biashara nategemea ushauri wako sana.mtaji wa kutosha ninao.na niko dar es salaam.
 
hakikisha wanaukuzunguka wote au kwa wingi wao ni wasukuma,wasambaa,wambulu,na sio wamasai,wapare,wagogo,maana wapare ningekushauri uuze mahindi ya kukoboa, wamasai uuze nyama ng'ombe/mbuzi n.kwachaga...ndizi!! JITAHIDI NDUGU.
 
Back
Top Bottom