ushauri wa biashara

Joined
Feb 22, 2015
Posts
21
Reaction score
6
Nataka nianzishe biashara ya samaki kutoka kanda ya ziwa kuja arusha na kilimanjaro naomba msaada wa njia za kusafirisha samaki bila kuaribika kwan mtajio wangu ni mdogo bado cjaweza kumiliki gari kwaajili ya kusafirishia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…